AHP Healthcare Mbagala Polyclinic

AHP Healthcare Mbagala Polyclinic Huduma zetu:
-ushauri wa daktari
-madaktari bingwa
-Vipimo vya maabara
-Ultrasound
-Matibabu na Dawa

Tunapokea Bima za Strategis, Jubilee na NHIF

Karibu kwa huduma ya daktari, dawa, vipimo vya maabara na ultrasound.Tunapatikana Mbagala Zakiem, jirani na ofisi za TRA...
01/02/2026

Karibu kwa huduma ya daktari, dawa, vipimo vya maabara na ultrasound.

Tunapatikana Mbagala Zakiem, jirani na ofisi za TRA.

Tupo wazi kila siku kuanzia saa tatu asubuhi hadi saa 12 jioni.

Tunapokea pia bima za NHIF, Strategis na Jubilee

📞 0764 427 947

Kutapika hupelekea mtoto kupoteza maji mwilini, kitu ambacho ni cha hatari mnoo. Kutapika husababishwa mara nyingi na ma...
21/01/2026

Kutapika hupelekea mtoto kupoteza maji mwilini, kitu ambacho ni cha hatari mnoo. Kutapika husababishwa mara nyingi na maambukizi ya virusi vya Rota. Virusi hivi havina tiba (dawa)

Kumpatia mtoto mchanganyiko safi wa ORS husaidia kuzuia hatari ya kuishiwa maji mwilini. Kumpa ORS mtoto anayetapika ni changamoto mnoo lkn unaweza fanya hivi;
- mpatie kidogo kidogo kwa kijiko cha chai (5mls), vijiko 2-4 kila baada ya dk 5-10
- unaweza mpatia iliyo ya baridi ili kupunguza uwezekano wa kutapika
- usikimbilie kumpatia chakula kingine isipokua maziwa ya mama kwa mtoto anayenyonya.
- Subiri walau masaa 3-4, ndipo uanze kumpa vitu vya maji maji k**a juice ya apple, chungwa etc. Epuka maziwa.
- Subiri walau saa 6–8 tangu atapike kwa mara ya mwisho kabla ya kumpa kwa kiwango kidogo vyakula vyepesi k**a ndizi, wali, au viazi vilivyopondwa.  Epuka tumbo kujaa.
- Ikitokea ametapika tena subiria nusu saa ipite kisha anza tena hatua za mwanzo.

Karibu AHP Healthcare Polyclinic kwa huduma bora.
Tunapokea pia bima za NHIF, Strategis na Jubilee.

Tunapatikana Kilwa Road, Mbagala Zakiem, jirani na ofisi za TRA Mbagala.

📱0764427947

Tunapokea wanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Taifa (NHIF)Tupo Mbagala Zakiem, jirani na ofisi za TRA Mbagala.Karibu ...
07/01/2026

Tunapokea wanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Taifa (NHIF)

Tupo Mbagala Zakiem, jirani na ofisi za TRA Mbagala.

Karibu tukuhudumie.

Tunapokea pia bima za Strategis na Jubilee.Karibu tukuhudumie.
25/03/2025

Tunapokea pia bima za Strategis na Jubilee.

Karibu tukuhudumie.

Karibu kwa huduma bora za matibabu.Tunapokea pia bima za Strategis na Jubilee.
20/03/2025

Karibu kwa huduma bora za matibabu.

Tunapokea pia bima za Strategis na Jubilee.

Karibu kwa huduma bora za matibabu.Tunapokea pia bima za Strategis na Jubilee.Tupo Mbagala Zakiem, jirani na ofisi za TR...
20/03/2025

Karibu kwa huduma bora za matibabu.

Tunapokea pia bima za Strategis na Jubilee.

Tupo Mbagala Zakiem, jirani na ofisi za TRA Mbagala.

Haya ni maambukizi ya kiluilui cha minyoo  (larva) ambao wanaingia kwenye ngozi baada ya kugusa udongo au mchanga ulioth...
11/03/2025

Haya ni maambukizi ya kiluilui cha minyoo (larva) ambao wanaingia kwenye ngozi baada ya kugusa udongo au mchanga uliothiriwa na minyoo hii.

Mbwa na paka ndio chanzo kikuu cha mazalia (host) ya aina hii ya minyoo.

Minyoo hii huisha yenyewe baada ya wiki 6-8.

Matibabu kwa kutumia dawa ya minyoo husaidia kupunguza muda wa maambukizi, mwasho na maambukizi ya vimelea vya bacteria kwenye eneo lililoathiriwa.

Kwa huduma za matibabu, vipimo vya maabara na ultrasound. Karibu tukuhudumie.Tupo wazi kila siku kuanzia saa 3 asubuhi h...
15/12/2024

Kwa huduma za matibabu, vipimo vya maabara na ultrasound. Karibu tukuhudumie.

Tupo wazi kila siku kuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 12 jioni.

Tunapatikana Mbagala Plaza, Zakiem, jirani na TRA Mbagala.

Tunapokea pia bima za Jubilee na Strategis.

Tupigie 0764427947

15/12/2024

Karibu tukuhudumie. Kwa huduma za matibabu, vipimo vya maabara na ultrasound.

Tupo wazi kila siku kuanzia saa tatu asubuhi hadi saa 12 jioni.

Tunapatikana Mbagala Plaza, Zakiem jirani na TRA Mbagala.

Tunapokea bima za Jubilee na Strategis

12/07/2024

Huduma ya kipimo cha Ultrasound inapatikana, karibu tukuhudumie.

Tupo wazi kila siku, saa 3 asubuhi hadi saa 12 jioni.

Tunapatikana Mbagala Zakiem, jirani na NMB Mbagala.

Tunapokea pia bima za Jubilee na Strategis.

Huduma zetu:
-ushauri wa daktari
-madaktari bingwa
-Vipimo vya maabara
-Ultrasound
-Matibabu na Dawa

Tunapokea Bima za Strategis, Jubilee na NHIF

Address

Mbagala Plaza (TRA Office Mbagala), Zakiem
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 18:00
Tuesday 09:00 - 18:00
Wednesday 09:00 - 18:00
Thursday 09:00 - 18:00
Friday 09:00 - 18:00
Saturday 09:00 - 18:00
Sunday 09:00 - 18:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AHP Healthcare Mbagala Polyclinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to AHP Healthcare Mbagala Polyclinic:

Share