Afya Kwanza na Dr.Isabela

  • Home
  • Afya Kwanza na Dr.Isabela

Afya Kwanza na Dr.Isabela Afya na Matibabu

07/04/2025

Habari za usiku, jamani natafuta mdada wa kunisaidia kwenye kibanda changu hapa machinga anaekaa karibu na machinga ya Dodoma mshahara laki na ishirini kwa mwezi kwa atakaehitaji tuwasiliane 0685254248

KWA MATATIZO YOTE YA UZAZI KWA KINA MAMATUNA TIBA KWA WANAWAKE WANAOSUMBULIWA NA MATATIZO YAFUATAYO'📌Mvurugiko wa homoni...
12/12/2023

KWA MATATIZO YOTE YA UZAZI KWA KINA MAMA

TUNA TIBA KWA WANAWAKE WANAOSUMBULIWA NA MATATIZO YAFUATAYO'
📌Mvurugiko wa homoni
📌Hedhi isiyo na mpangilio
📌Uke mkavu
📌Mirija kuziba/kujaa maji
📌Hedhi isiyoisha
📌Uvimbe kwenye kizazi
📌Kutoshika ujauzito/ugumba
📌Kukosa hedhi kipindi kirefu
📌Wale wote waliothiriwa na matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango
📌Mimba kuharibika
📌Kupata hedhi yenye mabongemabonge
📌Maumivu wakati wa tendo la ndoa
📌Uke kutoa maji/harufu mbaya
📌P.I.D
📌Kukosa hamu ya tendo la ndoa
📌Uchafu katika mfumo mzima wa uzazi
📌Fangasi za ukeni
📌Masundosundo/Vigwaru
📌U.T.I sugu n.K Hizi sababu ambazo zinafanya usishike Mimba

KWA MATATIZO YOTE YA UZAZI KWA KINA MAMATUNA TIBA KWA WANAWAKE WANAOSUMBULIWA NA MATATIZO YAFUATAYO'📌Mvurugiko wa homoni...
12/12/2023

KWA MATATIZO YOTE YA UZAZI KWA KINA MAMA

TUNA TIBA KWA WANAWAKE WANAOSUMBULIWA NA MATATIZO YAFUATAYO'
📌Mvurugiko wa homoni
📌Hedhi isiyo na mpangilio
📌Uke mkavu
📌Mirija kuziba/kujaa maji
📌Hedhi isiyoisha
📌Uvimbe kwenye kizazi
📌Kutoshika ujauzito/ugumba
📌Kukosa hedhi kipindi kirefu
📌Wale wote waliothiriwa na matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango
📌Mimba kuharibika
📌Kupata hedhi yenye mabongemabonge
📌Maumivu wakati wa tendo la ndoa
📌Uke kutoa maji/harufu mbaya
📌P.I.D
📌Kukosa hamu ya tendo la ndoa
📌Uchafu katika mfumo mzima wa uzazi
📌Fangasi za ukeni
📌Masundosundo/Vigwaru
📌U.T.I sugu n.K Hizi sababu ambazo zinafanya usishike Mimba
𝗧𝘂𝗽𝗶𝗴𝗶𝗲 0685499196.

Madhara Yatokanayo Na PID Au VISABABISHIPID ambayo Haikupata Tiba Inaweza kusababisha Makovu NA Vifuko Vyenye Maji Yenye...
25/10/2023

Madhara Yatokanayo Na PID Au VISABABISHI

PID ambayo Haikupata Tiba Inaweza kusababisha Makovu NA Vifuko Vyenye Maji Yenye Wadudu KWENYE Mkondo WA Nnjia YA Uzazi YA Mwanamke. Vitu Hivi Vinaweza Kusababisha Madhara YA Kudumu KWENYE VIUNGO VYA UZAZI.

Madhara Yanayoweza KUTOKEA NI PAMOJA NA:

✍️Mimba nje ya mirija (ectopic pregnancy): PID ndiyo sababu kubwa ya mimba kutunga nje ya kizazi. Mimba huweza kutunga nje ya kizazi endapo PID imesababisha makovu ndani ya mirija ya uzazi. Makovu haya husababisha yai lililopevushwa kushindwa kusafiri ndani ya mirija ya uzazi kuelekea kwenye nyumba ya uzazi. Badala yake yai hunata ndani ya mirija ya uzazi . Mimba nje ya kizazi husababisha utokaji wa damu usio wa kawaida unaoweza kukatisha maisha ya mwanamke.

✍️Ugumba: Uharibifu wa viungo vya uzazi huweza kusababisha ugumba – kushindwa kupata ujauzito. Kadiri unavyozidi kupata PID mara nyingi zaidi, ndivyo hatari ya ugumba inavyozidi. Kuchelewa kupata tiba ya PID kunaongeza hatari ya ugumba.

✍️Maumivu sugu ya nyonga: PID inaweza kusababisha maumivu ya nyonga yanayoweza kudumu kwa miaka mingi. Makovu ndani ya mirija ya uzazi na viungo vingine vya uzazi huweza kuleta maumivu wakati wa kujamiiana na wakati yai linadodondoshwa (ovulation).

✍️Tube-ovarian abscess: PID huweza kusababisha kutunga kwa usaha na kufanya majipu ndani ya njia ya uzazi. Mara nyingi majibu haya hutokea ndani ya mirija ya uzazi na ovari, ingawa huweza kuota ndani ya nyumba ya uzazi na shingo ya kizazi. K**a tiba haitatolewa, unaweza kupata maambukizo hatarishi kwa maisha.


25/10/2023
KWANINI HOMON HUVURUGIKA?Moja ya sababu zinazoweza kupelekea mvurugano wa hormones (hormonal imbalance )🌷.Msongo wa mawa...
25/10/2023

KWANINI HOMON HUVURUGIKA?
Moja ya sababu zinazoweza kupelekea mvurugano wa hormones (hormonal imbalance )

🌷.Msongo wa mawazo (stress)
🌷.Kula vyakula visivyo endana na blood group yako
Kwanza Ni mhimu kujua blood group yako
🌷. Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango
🌷.upungufu wa lishe mwilini (Lishe mbaya) Unakula kumaliza K**a sio kushiba
🌷.Famili history (upungufu au ongezekeko la homon ya progesterone na Estrogen)
🌷.Utoaji mimba (abortion) unakuta MTU ushatoa mimba zaidi ya Mara 2 una disturb kizazi tu
🌷.Maambukizi katika via vya uzazi PID (pelvic inflammatory disease na Nikwambie K**a umewai kutoa mimba PID unayo sema hujaenda kufanya Pelvic utrasound scan Tatizo lako unapima mkojo na kuonekana una U.T.I Kali na

Mimi nasema una PID

Maambukizo haya yameweza kuwachelewesha Wanawake wengi kushindwa kunasa mimba kwa wakati na utafiti unaonyesha Katika wanawake 8 wenye PID mmoja anakuwa MGUMBA

Kwa ushauri na suluhisho nipigie tuongee vizur nikushauri vizur zaidi ndugu ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako

KWANINI HOMON HUVURUGIKA?Moja ya sababu zinazoweza kupelekea mvurugano wa hormones (hormonal imbalance )🌷.Msongo wa mawa...
25/10/2023

KWANINI HOMON HUVURUGIKA?
Moja ya sababu zinazoweza kupelekea mvurugano wa hormones (hormonal imbalance )

🌷.Msongo wa mawazo (stress)
🌷.Kula vyakula visivyo endana na blood group yako
Kwanza Ni mhimu kujua blood group yako
🌷. Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango
🌷.upungufu wa lishe mwilini (Lishe mbaya) Unakula kumaliza K**a sio kushiba
🌷.Famili history (upungufu au ongezekeko la homon ya progesterone na Estrogen)
🌷.Utoaji mimba (abortion) unakuta MTU ushatoa mimba zaidi ya Mara 2 una disturb kizazi tu
🌷.Maambukizi katika via vya uzazi PID (pelvic inflammatory disease na Nikwambie K**a umewai kutoa mimba PID unayo sema hujaenda kufanya Pelvic utrasound scan Tatizo lako unapima mkojo na kuonekana una U.T.I Kali na

Mimi nasema una PID

Maambukizo haya yameweza kuwachelewesha Wanawake wengi kushindwa kunasa mimba kwa wakati na utafiti unaonyesha Katika wanawake 8 wenye PID mmoja anakuwa MGUMBA

Kwa ushauri na suluhisho nipigie tuongee vizur nikushauri vizur zaidi ndugu ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako

Call/Whatsapp 0685499196

K**a Unahitaji kujua zaidi nitafute Whatsapp kwa kubonyeza neno Whatsapp hapo chini ya picha
17/10/2023

K**a Unahitaji kujua zaidi nitafute Whatsapp kwa kubonyeza neno Whatsapp hapo chini ya picha

Address

Dodoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Kwanza na Dr.Isabela posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Afya Kwanza na Dr.Isabela:

  • Want your business to be the top-listed Health & Beauty Business?

Share