29/05/2026
*ASTHMA NI NINI? 🌿*
Asthma ni ugonjwa wa njia ya hewa (mapafu) unaosababisha njia hizo kubana, kuvimba na kutoa k**asi nyingi, hali inayofanya mtu kupata shida ya kupumua.
*⚠️ DALILI ZA ASTHMA*
1. Kupumua kwa shida (kubanwa kifua)
2. Kupiga filimbi kifuani (wheezing)
3. Kikohozi, hasa usiku au asubuhi
4. Kukosa pumzi
,5. Kifua kubana au kuuma
*🧬 SABABU ZA ASTHMA*
1. Urithi (familia kuwa na historia ya asthma)
2. Mzio (allergy)
3. Maambukizi ya mara kwa mara ya mfumo wa hewa
4. Mazingira yenye uchafu wa hewa
*🚫 VICHOCHEO (TRIGGERS) VYA ASTHMA*
1. Vumbi na poleni
2. Moshi (sigara, kuni, magari)
3. Harufu kali (p
erfume, kemikali)
4. Baridi kali au Joto kali
5. Mafua au homa
6. Msongo wa mawazo (stress)
7. Mazoezi makali (kwa baadhi ya watu)
📞 MATIBABU NA USHAURI
Alhamdullillah Tunazo dawa k**a asbabu za kutibu Changamoto hiyo .
Kwa matibabu na ushauri zaidi, wasiliana nasi kupitia:
📱 0676737155