02/10/2023
KUJICHUA KWA MUDA MREFU:
Ni moja kati ya vyanzo au sababu kubwa ya kupelekea matatizo ya ukosefu wa nguvu za kiume,
Asilimia kubwa ya vijana wanao sumbuliwa na tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume husababishwa na puchu,
Pindi unapo piga punyeto unakuwa una bana mishipa, Ambayo ndiyo hufanya uume kusimama,
Matokeo yake unaifanya mishipa hiyo kulegea na uume kuto simama imara, au kutosimama tena,
》Mishipa ya uume iliyo legea kutokana na upigaji wa punyeto, Hupelekea madhara yafuatayo.
1. Huondoa uwezo wa mishipa ya uume kurelax,
2. Mishipaya uume kulegea na kupelekea uume kusimama lege lege.
3. Uume kurudi ndani na kusinyaa na kuwa k**a uume wa mtoto,
NB: Punyeto huathiri ubongo kwa asilimia kubwa wapiga puchu, Wanamatatizo ya Uraibu, Na hii hupelekea matatizo ya kisaikolojia.
》Mtu mwenye tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume huwa na dalili zifuatazo.
1. Kushindwa kabisa kusimamisha uume wake,
2. Uume kusimama ukiwa legelege,
3. Kuwahi kumaliza tendo la ndoa,
4. kutokuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa katika baadhi ya staili,
5. Uume kutokuwa na uwezo wa kusimama wenyewe bila kushikwashikwa, Au kuingiza kwa vidole kwenye uke.
6. Uume kusinyaa ukiwa ndani ya uke,
7. Uume kusinyaa mara tu baada ya kutolewa ndani ya uke,
8. Kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa.
9. Kupatwa na maumivu wakati wa tendo hasa baada ya kumwaga manii,
10. Kushindwa kuunganisha mabao 2 hadi matatu.
NB: Nimuhimu kutambua yakwamba swala la upigaji wa puchu sio sifa, yawezakuwa umefanya mchezo huu kwa miaka 7 nausione madhara kwa haraka,
Lakini siku linakubumia ndipo utaanza kutapa tapa kutafuta msaada nahuki ukikuwa unajisifu na michezo hii ya hovyo,
Badilisha mitindo ya maisha yako, Jitambue tafuta mwanamke akuridhishe nasio kujichukulia sheria mkoni...
Toka huko hata kwa gharama kubwa unajiu mwenyew taratibu