Doctor mavura tiba asilia

Doctor mavura tiba asilia Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Doctor mavura tiba asilia, Medical and health, Dar es Salaam.

Kuna baadhi ya wadada unawakuta wanajisifia kuwa hawana muda na maji kwa wiki wanaweza wasinywe maji kabisa... Wengine w...
02/05/2023

Kuna baadhi ya wadada unawakuta wanajisifia kuwa hawana muda na maji kwa wiki wanaweza wasinywe maji kabisa... Wengine wanajisifu kuwa wanaweza maliza siku 3 bila kwenda haja kubwa 😀 hizi naziita SIFA ZA KIJINGA

K**a upo kundi la wadada wa aina hii, ina maana kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na kiwango kikubwa cha tindikali mwilini, si ajabu baadae ukajikuta na matatizo ya mawe kwenye figo, bawasiri, U.T.I sugu na matatizo ya kuumwa kichwa mara kwa mara. ACHA SIFA ZA KIJINGA, KUNYWA MAJI, KULA MATUNDA NA MBOGA ZA MAJANI, Kojoa utoe sumu, nenda haja kubwa angalau mara mbili kwa siku.

Endelea kujiweka mbali na maambukizi, kunywa maji, kuwa msafi na kula vizuri, ujiweke mbali na magonjwa ya uzazi

Iwapo una changamoto katika uzazi na ungependa kujua namna ya kuitatua, tuandikie changamoto

Pia tunayo MIXED HERBS POWDER... dawa iliyoandaliwa ambayo ni mahsusi kwa changamoto yako na kwa ajili ya mfumo mzima wa uzazi na hormones kwa mwanamke

Ni dawa ambayo imeandaliwa kwa mchanganyiko wa dawa asili za uzazi k**a shivatar, mrehani, mjafari, oregano, shamari n.k ambayo

- Inasafisha via vya uzazi k**a kutoa msongamano wa maji machafu kwenye mirija ya uzazi na fuko la uzazi, kuondoa infections za bakteria na fangasi (P.I.D)

-Inaondoa makovu na vivimbe kwenye fuko la uzazi, kwenye mirija na kwenye vifuko vya mayai (fibroids, scars and ovarian cysts)

- Kwa kuwa imechanganywa na mrehani ndani yake, dawa hii inawasaidia wanawake kuondoa changamoto ya mvurugiko wa homoni kwa wale wasiopata hisia za kufanya mapenzi, tatizo la uke mkavu, period kupishana, maziwa kujaa/kuuma damu ya hedhi kutoka mabonge, utelezi, mayai kutokupevuka n.k....

Dozi hii unaitumia kwa siku 21 mpaka 30

Unaipata MIXED HERBS POWDER

Hakuna gharama yoyote ya usafirishaji

Tupo Dar, Machinga Complex mtaa ya KARUME

Kwa mawasiliano zaidi
PIGA SIMU / WhatsApp +255711498581

24/03/2023

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Doctor mavura tiba asilia posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share