03/07/2026
SUKARI (DIABETES)
KUVUNJA NGUVU ZA KISUKARI
SUKARI Hutokea wakati mwili unaposhindwa kudhibiti sukari inayolundikana hadi kufikia viwango hatari katika damu.
Uchunguzi wa kisukari mara nyingi hufanyika wakati vipimo vya sukari kwenye damu vinapoonesha bilakubadilika kuwa kiasi cha 7.0 mmol/L baada ya kufunga kwa muda wa saa nane.
KUNA AINA MBILI ZA SUKARI
❎ Kisukari no moja,hii huathiri kiasi cha 5% ya wagonjwa wote wa kisukari. mara nyingi wagonjwa hawa ni wembambana wana kongosho isiyofanya kazi vizuri ambayo hainauwezo tena wa kuzalisha insulini ya kutosha.aina hii ua kisukari huanzia utotoni
❎Kisukari no 2 au kisukari kisichotegemea insulini,(NIDDM) Nikisukari kinachojulikana sana.90% ya wagonjwa wa kisukari wana aina hii.Zamani watu walipata ugonjwa huu walipofikisha miaka 50 walipozeeka na kunenepa
Lakini sasa watu wengi wanauzito kupota kiasina wanapata ugonjwa huu ingawa wanaumri mdogo
Tofauti na kisukari cha utotoni
Wangonjwa wa kisukari no 2 wana insulini nyingi katika miili yao wanapo gundulika lakini kuna kitu fulani kinazuia insulini isifanye kazi vizuri
MADHARA AU MATOKEO YA KISUKARI(DIABETES)
❎Kupata matatizo ya machona hata upofu,kisukari ni chanzo kinachoongoza kusababisha upofu katika nchi zilizoendelea.
❎Watu wenye ugonjwa wa sukari wanauwezekano mara 18 zaidi wa kupata athari mbaya kwenye figo(jambo linaloweza kuua)kuliko wale wasio na kisukari
❎Kisukari ni chanzo kikuu cha kusinyaa kwa ateri.matokeo yake ni kuwa kisukari huongeza zaidi ya maradufu ya kupata mashambulizi ya moyo na kiharusi
❎kinaweza pia kusababisha upungufu wa nguvu za kiume
❎kukak**aa kwa misuli ya miguu kunaleta ulemavu na uozo wa sehemu za mwili kutokana na ukosefu wa damu .
NINI HUSABABISHA KISUKARI NO 2
Utafiti unaonesha chanzo kikuu ni mafuta _Mafuta kwenye chakula na mafuta mwilini. ugonjwa huu hutokea kwa nadra sana katika maeneo yenye utumiaji mdogo wa mafuta naasiyekuwa na unene
kwa kawaida insulini homoni hutoka kwenye kongosho husaidia seli za mwili kutumia glukozi na kudhibiti viwango vya sukari kwenye damu.
KWAHIYO NJIA IPI NI BORA KUTIBU UNGONJWA HUU
Vituo vingi vya tiba vimeonesha bila shaka yoyote kuwa sehemu kubwa ya wagonjwa wa kusukari no 2 wanaweza kurekebisha viwango vyao vya sukari. mara yingi ndani ya majuma kadhaa.kwa kufanya mazoezi na kutumia vyakula vya nyuzinyunzi,ulaji wa nafaka zisizo koborewa
Karibu Afya yangu Tumekuandalia namna nzuri ya utumiaji ya virutubisho lishe vye mchanganyiko wa matunda ,mimea na bongamboga ili upate suluhisho ya changamoto ya ugonjwa wasukari
wasiliana nasi kwa wassup no 0742822220
au 0658252220https://wa.me/message/62ETSIC6WHV3G1