Dr Kassimu

Dr Kassimu Good service 24 hours

26/07/2024

GCAT HOSPITAL
Ni Hospital ya WaΓ§hina Ambayo Inadili Na maradhi yote Sugu Yasiyo Ambukizwa k**a Vile.
Vidonda Vya Tumbo, Saratani ya Shingo ya Uzazi, Kisukari, Presha Aina zote Kupanda na Kushuka, Ugonjwa Wa Mapafu, Ugonjwa Wa Moyo, Tezi Dume,P.I.D Sugu, U.T.I Sugu, Uzazi Kwa Wanaume na Wanawake, Kutokwa Uchafu Ukeni, Kutokushika Mimba, Bawasiri ya Ndani na Nje, Ugonjwa Wa Meno, Ugonjwa Wa Macho, Ugonjwa Wa Ini na Figo,Kushindwa Kumiliki Tendondo.n.k

Daktari Atakufanyia Vipimo ili kuweza kugundua changamoto au Ugonjwa unao kusumbuwa Kwa muda mrefu Baada ya Vipimo atakuandikia Dawa Ambazo zitaenda Kutibu Ugonjwa Moja Kwa Moja Pasipo Jirudia.

Pia Dawa zetu Zina Tumiwa na Rika Zote Kwani Hazina Madhara Yeyote Yale na Zinatibu maradhi Ndani ya Muda Mfupi Pasipo jiludia Tena.

Tuna Patikana Nchini Tanzania kote k**a Vile Dar es salaam, Morogoro Kibaha, Mlandizi, Dodoma, Kigoma, Tabora, Arusha, Moshi, Zanzibar, Kagera, Njombe, Iringa, Mafinga, Tunduma, Mbeya, Mtwara, Karatu, Mwanza. N.k

Kwa Mawasiliano Nasi Piga simu Namba 0746772817 au Tuma Ujembe Mfupi wattsapp 0746772817 .

KARIBUNI SANA πŸ™πŸ™

*BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE*βž– Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa ...
25/07/2024

*BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE*
βž– Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa.

*CHANZO CHA BAWASIRI*
βž– Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
βž– Tatizo sugu la kuharisha
βž– Ujauzito
βž– Uzito wa mwili kupita kiasi
βž– Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
βž– Kupata haja kubwa ngumu
βž– Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
βž– Kunywa pombe
βž– Kula sana nyama nyekundu
βž– Vidonda vya tumbo
βž– Ngiri(Chango/Hernia
βž– Kula sana pilipili
βž– Kunyanyua vitu vizito

*DALILI ZA BAWASIRI*
βž– Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
βž– Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
βž– Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
βž– Kupata kinyesi chenye damu
βž– Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
βž– kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
βž– Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa
βž– Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
βž– Uume kusinya (unapoteza urefu na ukak**avu)

*MADHARA YA BAWASIRI*
βž– Upungufu wa damu mwilini
βž–Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
βž– Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
βž– Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
βž– Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
βž– Kupata tatizo la kisaikolojia
βž– Kutopata ujauzito
βž– Mimba kuharibika
Callβž–textβž–whatsappπŸ‘‡0746772817.

Gcat Hospital na Afya ya mifupa na maungio bila upasuaji.Maumivu ya joint ni tatizo linalosumbua watu wengi kwa sasa kut...
25/07/2024

Gcat Hospital na Afya ya mifupa na maungio bila upasuaji.
Maumivu ya joint ni tatizo linalosumbua watu wengi kwa sasa kutokana na mabadiliko ya mitindo ya Maisha. Umri mkubwa ni moja ya sababu inayopelekea kutokea kwa tatizo, ambapo tishu za mwili zinakuwa kavu na kupoteza uwezo wa kuvutika.

Tatizo hili limewafanya watu wengi kushindwa kukaa na kutembea umbali mrefu sababu ya maumivu makali wanayoyapata..

Pia limewaondolea watu uwezo wa kushiriki kwenye michezo na shughuli zingine za kujenga uchumi na wengine wengi kupata ulemavu wa maisha sababu ya kuwa na tatizo kwa muda mrefu sana na kulichukulia kawaida kwa kutumia dawa za maumivu (ant pains)
Na changamoto hii endapo isipotatuliwa mapema inaweza kukuondolea uwezo wa kutembea milele.

Kubwa Zaidi Wengi wamekuwa wakihangaika kupata Suluhu ya kudumu bila mafanikio.
Wengine wamekuwa wakipata tiba za kutuliza maumivu na baada ya muda mfupi tatizo linarudi tena.
K**a wewe umekuwa ukihangaika kupata suluhu la hili tatizo,usiwaze tena. Nina habari njema kwako.
Habari njema nikwamba unauwezo wa kutumia dawa asili zitokanazo na virutubisho lishe (food suppliments) ambazo zimewasaidia wengi kutibu matatizo yao yaliyo wasumbua kwa muda mrefu sana
karibu tukuhudumie sasa ASANTE.
πŸ“ž +255 746772817

NINI MADHARA YA KITAMBIKwanini ni muhimu kudhibiti uzito au kitambi??-kuwa na monekano mzuri-kuepuka kuzeeka mapema-kupu...
25/07/2024

NINI MADHARA YA KITAMBI

Kwanini ni muhimu kudhibiti uzito au kitambi??
-kuwa na monekano mzuri
-kuepuka kuzeeka mapema
-kupunguza matatizo ya viungo k**a miguu
-kupunguza kasi ya magonjwa yasiyo ambukizi mfn.pressure, kisukari,kansa,moyo,figo,saratani ya tezi dume, kupata ugumba,upungufu wa nguvu za kiume na vimbe katika kizazi kwa wanawake.

Je umewahi kujiuliza maswali haya ?
a)Kwanini unanenepa?
b)Kwanini unataka kupungua?
c)Njia gani salama kiafya kutumika ili kupungua

Njia kuu tatu watu wengi hutumia
i) Mazoezi, vyakula bora na kunywa maji mengi
ii) Kufanya diet mfano, kuacha kula au kutumia vyakula vyepesi, mboga na matunda (suicidal dieting)
iii) Kutumia bidhaa lishe yaani nutrition supplements.

KUMBUKA; UKIHITAJI KUPUNGUZA UZITO SHART LA KWANZA UONDOE SUMU MWILINI KISHA FUATA NJIA ZOTE ULIZOJIFUNZA

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa:
0746772817
au comment namba yako tutakupigia
Tuna Patikana Mikoa Yote Nchini Tanzania K**a Vile Dodoma,Dar es salaam,Mbeya,Morogoro,Mwanza,Arusha,Tabora,Zanzibar,Mtwara,Geita ,Kagera,Kigoma,Njombe,Kibaha,Mlandizi n .k

Address

Majumba Sita Ukonga
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Kassimu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share