15/02/2025
FIX DERMA SHADOW
SPF 50+Gel
Hiii ni sunscreen nzur sana
Ipo very light haiachi ule weupe kwenye ngozi
Ni nzur sana kwa watu wenye ngozi ya mafuta na chunusi
K**a una sensitive skin ni sunscreen ni nzur sana kwako imetengenezwa maalumu kwa ajili ya sensitive skin
Ipo dukani
Bei ni sh 40,000
Call/whatsup #0713442025
Tupo sinza kumekucha kituoni kabisa
Delvery tunafanya