29/04/2024
⚫ *DALILI ZA MTU MWEMYE* *NGIRI*
Dalili za ugonjwa huu wa ngiri ziko nyingi sana kwa hiyo hapa nitataja dalili chache tu.
⤵⤵️⤵️⤵️⤵️⤵️⤵️
1.🧷Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.
2.🧷Kupiga mingurumo tumboni.
3.🧷Kujaa gesi tumboni.
4.🧷Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.
5.🧷Kupata haja ngumu k**a ya mbuzi.
6.🧷Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.
7.🧷Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.
8.🧷Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.
9.🧷Nuru ya macho hupotea taratibu.
10.🧷Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.
11.🧷Huvutwa makende au upande mmoja maumivu.
12.🧷Hupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.
13.🧷Maumivu makali ya mgongo au kiuno
14.🧷Uume kusimyaa na kunywea k**a wa mtoto
15 .🧷Maumivu kati ya paja na kinena na hupelekea mguu kuwaka moto /kupata ganzi
16.🧷Kupata maumivu katikati ya kifua mithili ya chembe ya moyo (hiatal hernia)
17.🧷Tumbo kujaa na kuonekana k**a una kitambi kumbe ni gas.
18.🧷Ukila vitu vyevye sukari nying k**a soda nk tumbo huunguruma sana na kujaa gas
19.🧷Kuvimba kwa korodan ama korodan kupanda juu(moja ama zote kwa pamoja)DALILI ZA MTU MWENYE MSHIPA WA NGIRI/HERNIA & UHUSIANO ULIOPO KATI YA NGIRI (HERNIA) NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA
_______________________________________________
Dalili za ngiri ziko nyingi sana kwa hiyo hapa nitataja dalili chache tu.
Nazo ndizo hizi zifuatazo⤵
1📎Kubana tumbo hasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu/vyakula vya baridi.
2📎Kupiga miungurumo tumboni.
3📎Kujaa gesi tumboni.
4📎Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.
5📎Kupata haja ngumu k**a ya mbuzi.
6📎Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.
7📎Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.
8📎Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.
9📎Nuru ya macho hupotea taratibu.
10📎Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.
11📎Kuvutwa makende au upande mmoja maumivu.
12📎Hupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.
13📎Maumivu makali ya mgongo au kiuno
14📎Uume kusimyaa na kunywea k**a wa mtoto
15 📎Maumivu kati ya paja na kinena na hupelekea mguu kuwaka moto /kupata ganzi
16📎 Kupata maumivu katikati ya kifua mithili ya chembe ya moyo (hiatal hernia)
17📎 Tumbo kujaa na kuonekana k**a una kitambi kumbe ni gas.
18📎 Ukila vyakula vyevye sukari nying k**a soda nk tumbo huunguruma sana na kujaa gas
19📎 Kuvimba kwa korodan ama korodan kupanda juu(moja ama zote kwa pamoja)
______________________________________________
UHUSIANO ULIOPO KATI YA NGIRI (HERNIA) NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
______________________________________________
⚫ Hernia (Ngiri) ni miongoni mwa matatizo makubwa sana ambayo hupelekea upungufu wa nguvu za kiume kwa haraka sana.
⚫ Mwanaume anapopata Hernia (Ngiri),maeneo ambapo ngiri hutokea mara nyingi huwa na muunganiko na miriji ya damu pamoja na Neva ambazo hufanyakazi ya kutoa na kupeleka taarifa kwenye korodani na uume (p***s) pia kupeleka damu kwenye uume ili kuruhusu uume kusimama Imara(STRONG ER****ON)
⚫ Inapotokea Ngiri,usafirishaji wa damu kwenda kwenye uume pamoja na taarifa hushindwa kufanyika kwa weledi,matokea yake uume husimama legelege (ERECTILE DYSFUNCTION),hali hii husababisha Mwanaume kuwahi kufika kileleni(pre-mature ej*******on) pamoja na kukosa hisia za mapenzi na kushindwa kurejea tendo la ndoa kwa wakati.
⚫ Lakini pia Ngiri huathiri mpaka mirija ya kusafirisha Manii (Vas defens) hivyo husababisha kiwango kidogo cha mbegu kuzalishwa (Low s***m count) na matokeo yake mwaume kushindwa kumpa mimba mwanamke
Kwa mawasiliano na ushauri⤵️⤵️:
______________________
Dr. Chilambo
0694267717
AJAM HERBAL CLINIC
DAR ES SALAAM , TANDIKA
MTAA WA UNGWENO MKABALA NA HOSPITAL YA ARAFA