AfyaPlus

AfyaPlus Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AfyaPlus, Medical and health, Dar es Salaam.
(2)

👨‍⚕️ MATIBABU YA CHANGAMOTO ZA UZAZI WANAWAKE KWA WANAUME, KITAMBI NA UZITO MKUBWA NA MATATIZO WA LISHE.

✅✅ Nasaidia kutibu changamoto kuanzia chanzo cha tatizo na athari zake kwa TIBA za uhakika.
☎️ Kwa Tiba Na Ushauri Call/Whatsapp +255755518449

0755 518 449 🚨 WANAWAKE WENGI WANAJITAFUTIA HATARI KIMYAKIMYA! 🚨Saratani ya matiti na mfuko wa uzazi haianzi ghafla…Huja...
12/05/2026

0755 518 449
🚨 WANAWAKE WENGI WANAJITAFUTIA HATARI KIMYAKIMYA! 🚨
Saratani ya matiti na mfuko wa uzazi haianzi ghafla…
Huja taratibu kupitia DALILI ambazo wengi huzipuuzia kila siku. ⚠️
❌ Maumivu ya mara kwa mara chini ya tumbo
❌ Kutokwa na uchafu au damu isiyo ya kawaida
❌ Kuvimba au kuhisi kitu kigumu kwenye matiti
❌ Maumivu wakati wa tendo la ndoa
❌ Hedhi kubadilika ghafla bila sababu
❌ Vidonda au harufu kali sehemu za siri
❌ Uchovu usioeleweka kila wakati
Wengi huona ni “kawaida”…
Lakini ukweli ni kwamba mwili huwa unatoa ONYO mapema. 🚨
✔️ Fanya uchunguzi mapema
✔️ Linda afya yako kabla hali haijawa kubwa
✔️ Badili mtindo wa maisha na lishe
✔️ Usikae na dalili kimya
Afya ya mwanamke ni msingi wa familia nzima ❤️
📩 K**a una dalili hizi au unahitaji ushauri wa kiafya, usisite kuwasiliana nasi mapema.












0755 518 449 🚨 HANA RAHA ya tendo la ndoa?Usipuuze dalili hizi… 👇✔️ Kuwashwa sehemu za siri✔️ Maumivu wakati wa tendo✔️ ...
11/05/2026

0755 518 449
🚨 HANA RAHA ya tendo la ndoa?
Usipuuze dalili hizi… 👇
✔️ Kuwashwa sehemu za siri
✔️ Maumivu wakati wa tendo
✔️ UTI kurudia mara kwa mara
✔️ Uchovu usioeleweka
✔️ Kukosa hamu ghafla
✔️ Kutokwa na uchafu usio wa kawaida
✔️ Kiuno kuuma kila mara
✔️ Kukosa msisimko wa kawaida
Watu wengi wanateseka kimya kimya 😢
Na wengine hudhani ni kawaida… Kumbe mwili unahitaji msaada mapema.
📌 Afya ya mwili huathiri sana furaha ya ndoa na mahusiano.
Ukiona dalili hizi usikae nazo muda mrefu.
📩 Inbox upate ushauri na mwongozo sahihi mapema.









0755 518 449 Watu Hawa hawana hamu ya tendo la ndoa
11/05/2026

0755 518 449
Watu Hawa hawana hamu ya tendo la ndoa

0755 518 449 🚨 MPENZI WAKO AKIWA NA DALILI HIZI USIMRUHUSU AENDELEE KUNYWA DAWA KIHOLELA⚠️ Maumivu wakati wa kukojoa⚠️ K...
11/05/2026

0755 518 449
🚨 MPENZI WAKO AKIWA NA DALILI HIZI USIMRUHUSU AENDELEE KUNYWA DAWA KIHOLELA
⚠️ Maumivu wakati wa kukojoa
⚠️ Kukojoa mara kwa mara
⚠️ Kuwashwa sehemu za siri
⚠️ Maumivu ya tumbo au mgongo
⚠️ Harufu kali ya mkojo
⚠️ Homa zinazojirudia
Watu wengi wanaendelea kutumia dawa bila vipimo sahihi… Mwisho wake maambukizi yanakuwa sugu na kuanza kuathiri afya zaidi. 😢
Kumbuka: Sio kila UTI inatibiwa kwa dawa zile zile. 🚨
📩 Fanya maamuzi sahihi mapema kabla hali haijawa kubwa zaidi.











0755 518 449 🚨 UTI IKIFIKA KUATHIRI FIGO… MWILI HUANZA KUTOA WARNING HATARI SANA⚠️ Maumivu makali ya mgongo chini⚠️ Homa...
10/05/2026

0755 518 449
🚨 UTI IKIFIKA KUATHIRI FIGO… MWILI HUANZA KUTOA WARNING HATARI SANA
⚠️ Maumivu makali ya mgongo chini
⚠️ Homa za mara kwa mara
⚠️ Kuchoka kupita kiasi
⚠️ Mkojo kubadilika rangi au harufu kali
⚠️ Mwili kuvimba taratibu
Wengi hudhani ni UTI ya kawaida… Kumbe maambukizi tayari yameanza kupanda kuelekea FIGO. 😢
Usisubiri dalili ziwe kali ndipo uanze kutafuta msaada.
📩 Ukiona dalili hizi mara kwa mara, chukua hatua mapema kabla madhara hayajawa makubwa zaidi.









0755 518 449 Usitubu maumivu tibu chanzo cha tatizo utapona vizur
10/05/2026

0755 518 449
Usitubu maumivu tibu chanzo cha tatizo utapona vizur

0755 518 449 Mungu akuepushe na UTI
08/05/2026

0755 518 449
Mungu akuepushe na UTI

08/05/2026

0755 518 449
🚨 UKIJIKUTA UNAMCHUKIA MPENZI WAKO GHAFLA… TATIZO INAWEZA ISIWE TABIA YAKE
Mara nyingi chanzo huwa ni AFYA YA MWILI wako kuanza kushuka taratibu. ⚠️
✔️ Uchovu wa mwili kupita kiasi
✔️ Kukosa usingizi mzuri
✔️ Stress na presha za maisha
✔️ Kushuka kwa nguvu za mwili
✔️ Mwili kukosa balance nzuri ya homoni
✔️ Kukosa hamu ya ukaribu na furaha
Ukipuuzia hali hizi… Mahusiano yanaanza kuharibika kimya kimya bila kujua chanzo halisi. 💔
Afya ikiwa vizuri… Akili, hisia na mahusiano nayo hubadilika kabisa. 🔥
📩 Usisubiri hali iwe mbaya zaidi, anza kuujali mwili wako mapema.













0755 518 449 🚨 UTI sio ugonjwa wa kuchezea tena…Watu wengi wamejaribu kila dawa lakini maambukizi yanarudi tena na tena....
07/05/2026

0755 518 449
🚨 UTI sio ugonjwa wa kuchezea tena…
Watu wengi wamejaribu kila dawa lakini maambukizi yanarudi tena na tena.

⚠️ Ukweli ni huu…
K**a hujabadilisha mfumo wako wa matibabu na maisha yako ya kila siku, UTI itaendelea kukusumbua kimya kimya.

Njia iliyo baki kwa ajili ya kupona UTI pekee ni hii 👇

✔️ Tibu chanzo, sio maumivu pekee
✔️ Kunywa maji ya kutosha kila siku
✔️ Epuka kujizuia mkojo muda mrefu
✔️ Linda usafi wa sehemu za siri
✔️ Tumia tiba sahihi mapema kabla maambukizi hayajapanda kwenye figo

🚨 Dalili usizopuuzia:
❌ Maumivu wakati wa kukojoa
❌ Mkojo wenye harufu kali
❌ Kuwashwa sehemu za siri
❌ Maumivu ya kiuno au tumbo la chini
❌ Kwenda chooni mara kwa mara

📩 Ukiona dalili hizi usikae kimya.
Wahi kupata ushauri na tiba sahihi kabla hali haijawa kubwa zaidi.








0755 518 449 🚨 UTI sio ugonjwa wa kuchezea tena…Watu wengi wamejaribu kila dawa lakini maambukizi yanarudi tena na tena....
07/05/2026

0755 518 449
🚨 UTI sio ugonjwa wa kuchezea tena…
Watu wengi wamejaribu kila dawa lakini maambukizi yanarudi tena na tena.
⚠️ Ukweli ni huu…
K**a hujabadilisha mfumo wako wa matibabu na maisha yako ya kila siku, UTI itaendelea kukusumbua kimya kimya.
Njia iliyo baki kwa ajili ya kupona UTI pekee ni hii 👇
✔️ Tibu chanzo, sio maumivu pekee
✔️ Kunywa maji ya kutosha kila siku
✔️ Epuka kujizuia mkojo muda mrefu
✔️ Linda usafi wa sehemu za siri
✔️ Tumia tiba sahihi mapema kabla maambukizi hayajapanda kwenye figo
🚨 Dalili usizopuuzia:
❌ Maumivu wakati wa kukojoa
❌ Mkojo wenye harufu kali
❌ Kuwashwa sehemu za siri
❌ Maumivu ya kiuno au tumbo la chini
❌ Kwenda chooni mara kwa mara
📩 Ukiona dalili hizi usikae kimya.
Wahi kupata ushauri na tiba sahihi kabla hali haijawa kubwa zaidi.







05/05/2026

0755 518 449
🚨 HATA UWE NA UTI SUGU KIASI GANI… USIKATE TAMAA!
Umetumia dawa nyingi?
Umepona kidogo kisha inarudi tena?
👉 Hii ndio UTI sugu!
Na ukweli ni huu… watu wengi wanatibu dalili tu, sio chanzo ⚠️
❗ Ndiyo maana UTI inarudi tena na tena
✔️ Unatumia dawa bila kupima
✔️ Haujamaliza dose
✔️ Mfumo wa kinga ni dhaifu
✔️ Tabia zako bado zinairudisha
💀 Ukiendelea hivi…
UTI inaweza:
➡️ Kupanda hadi kwenye figo
➡️ Kusababisha maumivu makali ya mgongo
➡️ Kuathiri mfumo mzima wa mkojo
🔥 Lakini kwa namna sahihi… LAZIMA UPONE!
✔️ Pima kwanza ujue chanzo halisi
✔️ Tumia tiba sahihi na kamili
✔️ Imarisha kinga ya mwili
✔️ Badilisha tabia zako (maji, usafi, lifestyle)
🧠 Kumbuka:
UTI sugu sio kwamba haitibiki…
👉 Inahitaji mfumo sahihi wa matibabu
✅ Chukua hatua leo
Usiendelee kuishi na maumivu kila siku
📩 Nicheki inbox nikusaidie plan kamili ya kuondoa UTI sugu kabisa

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AfyaPlus posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share