27/06/2024
FAHAMU VIZURI NAMNA KUJICHUA PUNYETO KUNAVYOATHIRI NGUVU ZA KIUME.
Katika uume kuna sehemu inaitwa Corpus cavernosum ni msuli muhimu sana unaojenga uume ,ni msuli mkubwa unaojaa damu kwa asilimia 90 uume ukiwa umesisima .Msuli huu ukiwa na afya njema ,uume utasimama vizuri na muda mrefu bila kusinyaa haraka.Pia Ndio husababisha uume uwe na nguvu hatimaye kumuwezesha mwanaume kushiriki tendo la ndoa kwa ufanisi wa hali ya juu.
Vivile msuli corpus cavernosum ukiwa salama uume unatuna na ukisimama unakuwa mrefu na mnene .Ikiwa kuna hitilafu ndani yake uume utasinyaa sana na kuwa k**a wa mtoto mdogo! Na hii hali hupelekea kuwa na Vijana wengi wenye vibamia kwa sasa.
Mwanaume aliyefanya punyeto huwa msuli huo unajeruhiwa sana ,hupelekea kukak**aa na kujenga usugu vile vile hata kupungua kipenyo chake na mishipa ya damu iliyopo kwa ndani hufa inabaki michache sana .Matokeo yake Damu Huingia kidogo uume ukiwa umesimama .
Dalili ambazo huonyesha kwamba uume wako umejeruhiwa na kupiga punyeto ni maumivu baada ya kumaliza kujichua,ukimaliza kujichua uume unanyea haraka sana na kurudi ndani,korodani kuuma,uume unasimama lakini haujikazi unakuwa lege lege,Unatoa mbegu kidogo ,kuna baadhi ya siku nyingine wakati shahawa zinatoka (ej*******on) unahisi maumivu badala ya raha,siku nyingine unahisi hamu za kufanya punyeto lakini uume hausimami mpaka ulazimishe,punyeto ndio hukupa raha zaidi kuliko uke,Kadri siku zinavyozidi kwenda ndivyo unavyozidi kubana uume kwa mkono au sehemu yoyote ile ili kuendelea kupata raha ile ile k**a ya mwanzoni.Hii ni kutokana na kufa kwa neva hivyo usipobana vizuri uume kwa nguvu hupati raha au msisimko!
Madam Tinah
0768557525
Maisha ni afya
K**A ULIFANYA PUNYETO USINIFICHE TAFADHALI, NIAMBIE UKWELI ILI NIKUSAIDIE KULINGANA NA CHANZO CHA CHANGAMOTO YAKO.