AFYA YA UZAZI

AFYA YA UZAZI Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA YA UZAZI, Medical and health, Dodoma.

NASAIDIA WANAWAKE NA WANAUME WENYE YA CHANGAMOTO YA UZAZI

✅Tunatatua kuanzia chanzo cha tatizo kwa kutumia bidhaa zenye ubora wa hali ya juu na kumaliza tatizo kabisa

✅Piga simu kwa ushauri na matibabu ya changamoto za uzazi
0652893499

08/06/2026

K**a mzunguko wako ni siku 28 , hakikisha unaifuata hii kalenda kupanga uzazi na kuacha kutumia uzazi wa mpango hovyo

08/06/2026

Matumizi ya uzazi wa mpango yanaweza kuwa sababu kubwa ya mwanamke kutoshika mimba . lakini pia huleta mabadiriko ya kimwili k**a mwili kuongezeka , kupata period ya damu isiyo ya kawaida ama periodi ya muda mrefu au damu ya mabonge mabonge

usikubali kuendelea kuishi na matumizi ya uzazi wa mpango hakikisha unaweka homoni zako sawa na ufuate kalenda

07/06/2026

Kukaa na dalili hizi bila kuchukua hatua si jambo salama kwa afya yako ya via vya uzazi zinaweza kusababisha usiitwe mama katika maisha kwani zinaweza kusababisha
1. Mimba kutunga nje ya mfuko
2. Kuharibika kwa mimba
3. Ugumba
4. Kansa ya kizazi

Sasa kwa nini ufike huko na suluhisho lipo

Call / Whatsapp 0652893399 kwa msaada wa ushauri na suluhisho

🌿 USIPUUZE HILI! MAAMBUKIZI YA VIA VYA UZAZI YANAWEZA KUHARIBU AMANI YA MWILI WAKO KWA KIMYA KIMYA!Kuwashwa, maumivu ya ...
24/05/2026

🌿 USIPUUZE HILI! MAAMBUKIZI YA VIA VYA UZAZI YANAWEZA KUHARIBU AMANI YA MWILI WAKO KWA KIMYA KIMYA!

Kuwashwa, maumivu ya chini ya tumbo, harufu isiyo ya kawaida, au usumbufu wakati wa kujamiiana si kitu cha kupuuzia. Hizi ni dalili zinazoweza kuashiria maambukizi kwenye via vya uzazi yanayohitaji kushughulikiwa mapema kabla hayajaleta madhara makubwa.

Sasa kuna suluhisho la kukusaidia kurudi kwenye hali yako ya kawaida, kujihisi safi, huru na mwenye kujiamini tena. 💚

Bidhaa zetu husaidia kusaidia mwili kujisafisha na kurejesha usawa wa afya ya ndani kwa njia ya asili.

🔥 USISUBIRI MPAKA DALILI ZIWE MBAYA ZAIDI!
Chukua hatua leo kabla hali haijawa mbaya zaidi. Afya yako ya uzazi ni msingi wa maisha yako ya baadaye.
📌 Fanya maamuzi sahihi sasa—anza safari ya kujiweka huru na usumbufu leo!
📞 Kwa maelezo na oda piga/WhatsApp: 0652893499

Ukiondoa tabia ya watanionaje unatoboa kwenye haya maisha
15/05/2026

Ukiondoa tabia ya watanionaje unatoboa kwenye haya maisha

11/05/2026

Epuka kushiriki tendo la ndoa mara tu unapomaliza hedhi. hakikisha unafanya usafi vizuri wa uke wako kuondoa bacteria wabaya wa mabaki ya damu ya hedhi ili kuhepuka madhara kwa mpenzi wako na kwako mwenye . Jali afya yako kwanza kuliko kupenda sana kufanya tendo pasipo salama.

゚viralシ

09/05/2026

K**a wewe ni mtumiaji mzuri wa p2 jua haya ndio yatakayokukuta

゚viralシ

Kulala bila chupi kunaweza kuwa na faida kadhaa kwa baadhi ya wanawake, hasa upande wa afya na faraja. Hizi ni baadhi ya...
08/05/2026

Kulala bila chupi kunaweza kuwa na faida kadhaa kwa baadhi ya wanawake, hasa upande wa afya na faraja. Hizi ni baadhi ya faida zinazotajwa mara nyingi:

1.Kupunguza unyevunyevu sehemu za siri.
Hewa hupita vizuri zaidi, hivyo kusaidia eneo la uke kubaki kavu na kupunguza mazingira yanayoweza kuchochea fangasi au muwasho.

2.Kupunguza joto na msuguano.
Kulala bila chupi kunaweza kusaidia ngozi kupumua na kupunguza muwasho unaosababishwa na nguo zinazobana.

3.Faraja wakati wa kulala
Watu wengi huhisi huru zaidi na kupata usingizi mzuri wanapolala bila nguo za ndani zinazobana.

4.Kusaidia afya ya ngozi
Ikiwa mtu hupata vipele au muwasho kutokana na jasho au msuguano, kulala bila chupi kunaweza kusaidia kupunguza tatizo hilo.

Hata hivyo:
Ni muhimu kuhakikisha mazingira ya kulala ni safi, k**a mashuka na nguo za kulalia. K**a kuna uchafu mwingi au hali ya hewa ya baridi sana, wengine wanaweza kujisikia vizuri zaidi kuvaa chupi ya pamba isiyobana.

゚viralシ

PID ni hatari , unapoona dalili ambazo sio nzuri kwenye afya ya uzazi kafanye vipimo haraka kuhepuka ugumba na kansa ya ...
08/05/2026

PID ni hatari , unapoona dalili ambazo sio nzuri kwenye afya ya uzazi kafanye vipimo haraka kuhepuka ugumba na kansa ya kizazi

゚viralシ

07/05/2026

Thamani ya mama ni kubwa sana , usipoitambua dunia itakuwa ngumu sana kwako

゚viralシ

Address

Dodoma

Opening Hours

Monday 07:00 - 22:00
Tuesday 07:00 - 22:00
Wednesday 07:00 - 22:00
Thursday 07:00 - 22:00
Friday 07:00 - 22:00
Saturday 07:00 - 22:00
Sunday 07:00 - 22:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA YA UZAZI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to AFYA YA UZAZI:

Share