27/05/2026
OSHA USO NA FACE WASH🔥
🌹je unaosha uso na kipande cha sabuni ya magadi au na kipande cha kufulia ngu?
🌹Au unaosha uso kwa kutumia shawer jell?
✅Ngozi ya uso na ngozi ya mwilini ni tofaut sana havifanani
✅Hivyo hauhitaji kuosha uso wako kwa kipande cha sabuni ya magadi au ya kuoshea vyombo kwasababu hizo sabuni hazijatengenezwa kwaajiri ya uso au ngozi zinaweza kukusababishia matatizo ya ngozi.
✅unashauriwa kutumia sabuni maalum kwaajiri ya kuoshea uso kulingana na aina ya ngozi yako k**a ni kavu au yenye mafuta au mchanganyiko au sensitive
🌙✅ tumia face wash ili kuua bacteria waliopo kwenye ngozi ya uso
🌙✅Tumia face wash ili k**a uso wako ni wamafuta face wash ifyonze mafuta yaliyopo usoni
🌙✅k**a uso wako ni mkavu basi utapata mafuta ambayo ni normal kabisa
NB face wash yetu ni oil balance unakuwa na uso wenye usawaziko wa mafuta usiwe mkavu wala mafuta kupita kias.