Afya fit Tiba Asili

Afya fit Tiba Asili Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya fit Tiba Asili, Medical and health, Dar es salaam, Ilala.

Dr Monicah
Nawasaidia Wanaume Kutatua Changamoto Za Uzazi Ikiwemo Upungufu Wa Nguvu Za Kiume na Tezi Dume Kwa Kutumia Lishe, Mazoezi,Kanuni Za Kisaikolojia na Tiba Asilia kupona KABISA
wa.me/+255789907021

04/06/2026

K**a Unataka List ya vyakula 20 vya Kulinda tezi dume pamoja na Recipes Bora nitumie Ujumbe mfupi kwa Namba wa.me/255789907021

03/06/2026

SABABU 3 ZA KWANINI UNAKOJOA MARA KWA MARA USIKU

K**a unaamka mara 2, 3 au zaidi kila usiku kwenda kukojoa, usidhani ni maji tu uliyokunywa.

1️⃣ TEZI DUME KUANZA KUVIMBA
Tezi dume inapovimba huanza kubana njia ya mkojo. Kibofu hulazimika kufanya kazi kwa nguvu zaidi na matokeo yake ni kuamka mara kwa mara usiku.

2️⃣ KIBOFU KUTOKUTOA MKOJO WOTE
Baadhi ya wanaume huhisi wamemaliza kukojoa, lakini sehemu ya mkojo hubaki ndani ya kibofu. Hali hii husababisha hamu ya kukojoa kurudi tena baada ya muda mfupi.

3️⃣ SUKARI AU MFUMO WA MWILI KUTOKUWA SAWA
Kiwango kikubwa cha sukari kwenye damu kinaweza kufanya mwili utoe mkojo mwingi zaidi, hasa usiku.

⚠️ Kumbuka:
Kuamka kukojoa mara moja usiku si tatizo kubwa kwa watu wengi. Lakini kuamka mara 2, 3, 4 au zaidi kila usiku kwa muda mrefu ni ishara inayostahili kuangaliwa.

Darasa letu la MKOMBOZI liko wazi kukusaidia kufanya usafishaji wa kina wa siku 90 ili kuondoa sumu zote zilizoganda na kurejesha mfumo wako wa uzazi kwenye hali yake ya asili.

​Andika neno "MKOMBOZI" Inbox (DM) sasa hivi upate utaratibu wa kuanza leo!

​Afyafit TibaAsili
Tunatibu Chanzo, Hatuzimi Dalili! 🩺

01/06/2026

Mwanaume, kabla haujafikiria kumeza kidonge chochote cha kuongeza nguvu au kuzuia mkojo, kuna hatua moja kuu ya kitaluma unayoiruka.. KUSAFISHA MWILI (DETOX).

​Miaka mingi ya kula vyakula vya mafuta, pombe, kemikali, na hata matumizi yaliyopitiliza ya dawa za mitishamba na za hospitali, vimeacha mrundikano wa sumu nzito ndani ya mwili wako.

Sumu hizi zimekaa k**a Sumu iliyolala kimya (Silent Killer).

​Nini kinatokea kitaalamu?
Figo na utumbo wako mpana viliumbwa kusafisha mwili. Lakini unapovitesha kwa sumu kwa muda mrefu, vinachoka! Sumu hizo zinakosa pa kwenda, zinaanza kuvuja na kuelekea moja kwa moja kwenye tezi dume yako, na kuifanya ianze kuvimba siku baada ya siku bila wewe kujua.

​Ufanye nini ukiwa nyumbani?
K**a nilivyoeleza kwenye video, unaweza kuanza hatua rahisi kila asubuhi ....

Gonga glasi ya maji ya vuguvugu yaliyokamuliwa kipande cha limao kabla haujala kitu chochote. Hii inasaidia kuanza kuamsha mfumo wa Alkali na kusafisha asidi mwilini.

​Lakini k**a unataka kufanya Deep Detox (Usafishaji wa kina wa utumbo na tezi dume) ili kusinyatisha uvimbe kabisa:

Andika neno "DETOX" Inbox (DM) sasa hivi nikuunge na darasa letu la MKOMBOZI upate mwongozo kamili.

​Afyafit TibaAsili Tunatibu Chanzo, Hatuzimi Dalili! 🩺

Address

Dar Es Salaam
Ilala

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya fit Tiba Asili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Afya fit Tiba Asili:

Share