BELAM NA AFYA

BELAM NA AFYA Nawasaidia wenye changamoto ya vidonda vya tumbo

*🩺 DONDOO ZA AFYA Dr belam0733883199*IJUE SABABU YA KUTOKUPONA VIDONDA VYA TUMBO HIYO HAPO CHINIπŸ‘‡*Uzalishwaji wa ACID ny...
25/08/2023

*🩺 DONDOO ZA AFYA
Dr belam
0733883199

*IJUE SABABU YA KUTOKUPONA VIDONDA VYA TUMBO HIYO HAPO CHINIπŸ‘‡*
Uzalishwaji wa ACID nyingi tumboni ndyo sababu kubwa ,ndyo maana Kuna watu unawajua wamepona vidonda lakini wewe hauponi kwasababu vidonda vyake ni tofauti na vyako,WASILIANA na DOCTOR upate ufafanuzi

*DALILI ZA MTU ANAYESUMBULIWA NA KUZID KWA ACID TUMBONI (GERD-Acid Reflux*
-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:‡️‡️
1.πŸ–‡οΈ Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali hii hutokea pia mara baada ya kula.

2.πŸ–‡οΈ Mapigo ya moyo kwenda mbio/kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati.Hali hii hupelekea baadhi ya watu kuhisi wana matatizo ya moyo.

3.πŸ–‡οΈ Kuhisi k**a kichwa kimevurugika na kuhusi kuchanganyikiwa.

4.πŸ–‡οΈ Kusahau mara kwa mara hata vitu vya kawaida kabisa/Kupungua kwa kumbukumbu.

5.πŸ–‡οΈ Kujisaidia choo kigumu k**a cha mbuzi.

6.πŸ–‡οΈ Kuwa na wasiwasi na khofu kubwa na hufikia hatua hata ukipigiwa simu hasa nyakati za usiku moyo huanza kwenda mbio na kujawa na wasiwasi mkubwa.
7.πŸ–‡οΈ Kukosa usingizi ama kushtuka mara kwa mara kutoka usingizini.

8.πŸ–‡οΈ Kupumua kwa tabu baadhi ya nyakati.

9.πŸ–‡οΈ Kupata maumivu ya kichwa ya mara kwa mara kwa baadhi ya watu wenye tatizo hili.

10.πŸ–‡οΈ Kupata kikokozi kisichoisha
11.πŸ–‡οΈ Kuvimba Tonsillitis/mafidofido mara kwa mara.

12.πŸ–‡οΈ Mdomo kuwa mchachu na huwez kupelekea kutoa harufu mbaya ya kinywa.

13.πŸ–‡οΈ Kuhisi k**a kuna kitu kimekwama kooni lakin kila unavyojaribu kukitoa hakitoki
14.πŸ–‡οΈ Kupata fangasi mdomoni(mdomo huanza kutoa ute mweupe ambao una harufu mbaya).

15.πŸ–‡οΈ Huweza kupelekea ukaanza kuota ndoto za kutisha pindi ulalapo na kuhisi umerogwa.

16.πŸ–‡οΈ Kupata maumivu ya mgongo hasa sehemu ya mabega,maumivu makali kana kwamba umenyanyua vitu vizito.
17.πŸ–‡οΈ Mwili kuwa na uchovu usioisha utadhani unafanyakaz ngumu kila siku.

18.πŸ–‡οΈ Macho kupunguza uwezo wa kuona vizuri.

Bonyeza kitufe cha whatsapp Ili kuwasiliana nami

Usitumie vyakula vyenye uchungu k**a limao ikiwa una vidonda vya tumbo
07/08/2023

Usitumie vyakula vyenye uchungu k**a limao ikiwa una vidonda vya tumbo

07/08/2023

KARIBUNI SANA

Address

Ferry
Kigamboni

Opening Hours

Monday 06:00 - 22:00
Tuesday 06:00 - 22:00
Wednesday 06:00 - 22:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 06:00 - 22:00
Sunday 06:00 - 22:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when BELAM NA AFYA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to BELAM NA AFYA:

Share

Category