SmartHealth_Medx

SmartHealth_Medx ๐Š๐š๐ซ๐ข๐›๐ฎ ๐ฌ๐š๐ง๐š ๐’๐ฆ๐š๐ซ๐ญ๐‡๐ž๐š๐ฅ๐ญ๐ก ๐ฆ๐ž๐๐ข๐œ๐ฌ๐ŸŒฑ!
โžก๏ธElimu juu ya afya bora kwa mwanadam

๐’๐„๐‡๐„๐Œ๐” 2๐‰๐ข๐ง๐ฌ๐ข ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐ข๐›๐ฎ ๐ฆ๐š๐ฎ๐ฆ๐ข๐ฏ๐ฎ ๐ฒ๐š ๐ฆ๐š๐ญ๐ข๐ญ๐ข ๐ฉ๐ž๐ค๐ž ๐ฒ๐š๐ค๐จ ๐ฎ๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ง๐ฒ๐ฎ๐ฆ๐›๐š๐ง๐ข(๐‡๐Ž๐Œ๐„ ๐’๐„๐‹๐… ๐‘๐„๐Œ๐„๐ƒ๐˜)Unachoweza kufanya wewe mwenyewe๐Ÿ“ŒUna...
11/10/2022

๐’๐„๐‡๐„๐Œ๐” 2
๐‰๐ข๐ง๐ฌ๐ข ๐ฒ๐š ๐ค๐ฎ๐ญ๐ข๐›๐ฎ ๐ฆ๐š๐ฎ๐ฆ๐ข๐ฏ๐ฎ ๐ฒ๐š ๐ฆ๐š๐ญ๐ข๐ญ๐ข ๐ฉ๐ž๐ค๐ž ๐ฒ๐š๐ค๐จ ๐ฎ๐ค๐ข๐ฐ๐š ๐ง๐ฒ๐ฎ๐ฆ๐›๐š๐ง๐ข(๐‡๐Ž๐Œ๐„ ๐’๐„๐‹๐… ๐‘๐„๐Œ๐„๐ƒ๐˜)
Unachoweza kufanya wewe mwenyewe

๐Ÿ“ŒUnaweza kutumia njia zifuatazo ili ili kutambua na kuondoa maumivu na uvimbe kwenye mat**i unaojirudia kwa kila mzunguko wa hedhi (K**a mat**i yamevimba, ya moto, mekundu na yanauma, utafuata maelekezo yatakayofuata kwa chini kidogo)

๐Ÿ“’Tunza daftari lenye kumbukumbu za mzunguko wa hedhi kwa miezi 2 au 3, ukiandika ni wakati gani mat**i yanapoanza kuvimba au kuwa na vivimbe, yanapoanza kuuma na ni wakati gani dalili hizi huondoka. Hii itakusaidia kuamua k**a tatizo hili linahusiana na mabadiliko ya homoni wakati wa mzunguko wa hedhi.

๐ŸŒฑHakikisha kuwa manati ya kubebea mat**i โ€˜โ€™brasโ€™โ€™ hayabani na yanatoshea vizuri. Jaribu kuvaa manati yenye size kubwa kidogo, wiki 1 kabla ya kuanza kupata hedhi, vaaโ€™โ€™braโ€™โ€™ inayoyategemeza vizuri mat**i ili yasichezecheze sana. Unaweza kujaribu kuvaa โ€˜โ€™braโ€™โ€™ laini usiku, kwa baadhi ya wanawake inawapunguzia karaha.

๐ŸŒฑPunguza kiwango cha โ€˜โ€™caffeineโ€™โ€™ unachotumia kwa kupunguza unywaji wa kahawa, chai na cola

๐ŸŒฑK**a miguu huwa inavimba na kujaa maji, ni vizuri kupunguza kiwango cha chumvi unachotumia wiki 1 kabla ya hedhi kuanza

๐ŸŒฑOngeza kiwango cha wanga kwenye mlo, kula kiasi kikubwa cha matunda na mbogamboga, na epuka vyakula vya mafuta.

๐ŸŒฑK**a uzito ni mkubwa, jaribu kupunguza uzito. K**a kuna kiwango kikubwa cha mafuta mwilini kinaweza kuathiri kiwango cha homoni mwilini na kuchangia maumivu ya mat**i

๐ŸŒฑMsongo mkubwa wa mawazo ni moja ya hatari inayoweza kukuongezea uwezekano wa kupata maumivu ya mat**i. Jaribu kufanya mazoezi ya upumuaji โ€˜โ€™deep breathing exerciseโ€™โ€™ au kufanya mazoezi ya kulegeza misuli ya mwili โ€˜โ€™muscle relaxing exerciseโ€™โ€™.

๐Œ๐€๐”๐Œ๐ˆ๐•๐” ๐๐€ ๐”๐•๐ˆ๐Œ๐๐„ ๐Š๐–๐„๐๐˜๐„ ๐Œ๐€๐“๐ˆ๐“๐ˆ๐’๐„๐‡๐„๐Œ๐”1๐Ÿ“’Wanawake wengi wanapatwa na shida hii ya maumivu na uvimbe kwenye mat**i. Dalili ...
11/10/2022

๐Œ๐€๐”๐Œ๐ˆ๐•๐” ๐๐€ ๐”๐•๐ˆ๐Œ๐๐„ ๐Š๐–๐„๐๐˜๐„ ๐Œ๐€๐“๐ˆ๐“๐ˆ

๐’๐„๐‡๐„๐Œ๐”1
๐Ÿ“’Wanawake wengi wanapatwa na shida hii ya maumivu na uvimbe kwenye mat**i. Dalili mara nyingi zinaathiri mat**i yote mawili na huwa zinahusiana na mabadiliko ya homoni wakati wa mzunguko wa hedhi. Siku chache kabla ya kupata damu ya hedhi unaweza kupata maumivu na uvimbe kwenye mat**i na yanaweza kuuma yakiguswa. Dalili hizi mara nyingi huisha zenyewe baada ya damu ya hedhi kuisha.
๐ŸŒฑ Tatizo hili huwa linawapata zaidi vijana walio kwenye balehe, wajawazito au wanawake wanaotumia madawa ya kupanga uzazi au tiba ya homoni.
๐ŸŒฑ Mat**i ya wanawake wanaonyonyesha yanaweza kuwa mekundu, ya moto ukiyagusa na yayouma kwa sababu ya kujaa sana kwa maziwa au kwa sababu ya maambukizi.
๐ŸŒฑJapo sehemu kubwa ya vivimbe vinavyotokea kwenye mat**i sio kansa, uvimbe unaokuwepo kwa muda mrefu unapaswa kuchunguzwa.

๐ฆ๐ฎ๐จ๐ง๐ž ๐๐š๐ค๐ญ๐š๐ซ๐ข ๐ค๐š๐ฆ๐š
๐Ÿ“ŒUtakuta kuna uvimbe kwenye t**i

๐Ÿ“ŒUna uvimbe ambao unadumu kwa muda mrefu kwa kipindi chote cha mzunguko wa hedhi

๐Ÿ“ŒUna maumivu ya t**i yanayodumu kwa muda wote na hayana uhusiano na mzunguko wa hedhi au k**a maumivu yanapafika kwenye kwapa

๐Ÿ“ŒUnadhani dalili zimetokana na dawa za kupanga uzazi unazotumia au homoni unazoongezewa

๐Ÿ“ŒMat**i yamevimba, ni mekundu, yanauma na yana joto ukiyashika โ€˜โ€™mast**isโ€™โ€™

๐ˆ๐ง๐š๐ž๐ง๐๐ž๐ฅ๐ž๐š .....

๐ŸŒฑNadharia inayomzuia mwanamme kushiriki tendo la ndoa kwa walau siku 10 ili mbegu zake za kiume ziongezeke ubora wa kuru...
11/10/2022

๐ŸŒฑNadharia inayomzuia mwanamme kushiriki tendo la ndoa kwa walau siku 10 ili mbegu zake za kiume ziongezeke ubora wa kurutubisha yai hasa kwa wapenzi wenye changamoto ya kupata ujauzito haina ukweli.

๐ŸŒฑTafiti nyingi za afya, hasa ile ya Elisabeth Carlsen et al (Effects of ejaculatory frequency and season on variations in semen quality - 2004) inaeleza kuwa jambo hili halina faida yoyote kwenye kuboresha mbegu za kiume. Ukiachia utafiti huu, zipo taarifa nyingi zinazothibitisha kuwa mwanamme asiyetoa nje mbegu zake mara kwa mara huzipunguzia ubora na kasi ya kuogelea kwake.

๐ŸŒฑCalore Gilling Smith, Daktari Mbobezi wa mambo ya uzazi ambaye pia ni Mtendaji mkuu wa Agora Gynaecology & Fertility Centre anaeleza kuwa kutokutoa mbegu za kiume kwa muda mrefu hufanya mwili uhifadhi mbegu zisizo na ubora ambazo huwa na uwezo mdogo wa kuogelea kwenye mji wa uzazi na mirija ya uzazi hivyo kupungua pia kwa uwezo wa kutungisha ujauzito.

๐ŸŒฑWanaume wanashauriwa kushiriki tendo ndoa na kufikia mshindo walau mara 3 kwa wiki ili kutunza ubora wa mbegu zao.

Address

Mugumu

Telephone

+255765365297

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when SmartHealth_Medx posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to SmartHealth_Medx:

Share