29/12/2022
PONA BUREE KABISA VIDONDA VYA TUMBO NDANI YA SIKU 7 MKAZI WA MWANZA USITESEKE TENA PIGA 0744343221
"Naomba mniruhusu nianze na kisa hiki rafiki yangu wa karibu majuzi alilazwa katika hospitali kubwa hapa Mwanza na katika maisha yake yote hakuwahi kufahamu kuwa alikuwa na vidonda vya tumbo,alipewa tiba za kizungu,lakini kutokana na ukweli kuwa vidonda vyake vilikuwa vimeishafikia hatua mbaya sana dawa hizo ziligonga mwamba,basi baada ya kutoka na kunieleza nilimwambia nikiwa bado mdogo mama yangu alikuwa amenifundisha dawa inayoweza kusaidia watu kupona vidonda vya tumbo kabisa na dawa nyingine chache,basi kwa sababu jamaa tumezoeana hakuniamini sana ila akakubali nimuandalie dawa kishingo upande na nikamwelekeza baadhi ya vitu ambavyo inatakiwa aache kuvitumia kwa hizo siku atakazokuwa anatumia dawa ya vidonda,Amini usiamini baada ya kuanza kutumia siku 5 tu jamaa aliona mabadiliko makubwa sana na kupona, alinishukuru sana,na yeye ndiye aliyenisisitiza niwatangazie watu wanaoteseka ili niwasaidie kuwatibu pasina malipo".
Vidonda vya tumbo(gastric ulcers) ni michubuko iliyopo katika utumbo ndani ya tumbo kupanda kifuani. Vidonda hivi vinatokana na kuta kukwanguliwa na tindikali ndani ya tumbo na kupelekea maumivu makali sana kwa muathirika.
Vidonda vingi vya tumbo huchochewa na bakteria ajulikanaye k**a Helicobacter pylori, au H. pylori.
Vidonda vya tumbo wakati mwingine pia huchochewa na matumizi ya vidonge k**a asprin au aina nyingine kupitiliza na bila kufuata ushauri wa kitaalam.
Vidonda vya tumbo ni rahisi kutibika kuliko watu wanavyodhani kwani muathirika huitaji tu kuzuia kiwango cha tindikali inayozalishwa kwa wingi.
Kwa kuongezea ni kwamba tafiti mbalimbali nazo zimeonesha kuwa kupitia ulaji wa mimea dawa na vitu vya asili mtu anaweza kupona kabisa kabisa vidonda vya tumbo.
Ili tukutibu ni lazima tukuone kwanza hii siyo dawa ya kukutumia juu kwa juu hivyo bas Kwa mkazi wa Mwanza na maeneo jirani karibu tukutibu vidonda vya tumbo ndani ya siku saba na kukushauri bure.Wasiliana nasi sasa kupitia 0744343221
Tunapatikan Mwanza mjini karibia na lilipohamia soko kuu jipya Mirongo.
Kidonge kinakuua bila wewe kujua!Kula mimea ya Mungu kupitia Tiba Juisi