Dr. Ebby Herbal

Dr. Ebby Herbal Nawasaidia watu wenye changamoto za ki afya Kwa Tiba na Ushauri kwa kutumia mimea Asili matunda na mboga mboga za majani,. ASILI HUPONYA..

MIMI NINATIBU NA MUNGU ANAPONYA /Whatsapp_0757991560_Dr. Ebby 🤝

Mke anasema anaridhika na wadada wengine nnaokutana nao wanasema wanarudhika...😃😂 kabla sijamshauri👆mwenye Mme wake aje ...
12/07/2026

Mke anasema anaridhika na wadada wengine nnaokutana nao wanasema wanarudhika...😃😂 kabla sijamshauri👆mwenye Mme wake aje inbox chibaba wake anataka mashine kubwa aendelee alipoishia🙌 Dr. Ebby 0757991560

Wakati mwingine huwa imebaki DUA moja tu.. Yaani SALA moja tuAu SADAKA moja tu..Kati ya ugonjwa wako hadi uponyaji wako....
01/07/2026

Wakati mwingine huwa imebaki DUA moja tu..
Yaani SALA moja tu

Au SADAKA moja tu..

Kati ya ugonjwa wako hadi uponyaji wako.

Pamoja na dawa, kanuni za afya na jitihada zako, Mwambie dai ahadi ya Mungu ya uponyaji.

Kukata tamaa ni kukana uwezo wa Mungu

Kukata tamaa haikusaidii kupona ugonjwa wako

Nakutakia mwezi huu ukawe wa mafanikio na uponyaji❤️ Health Community care Tunajali na kuthamini afya yako🤝

Embe lina nyuzinyuzi (fiber) zinazosaidia mmeng'enyo wa chakula na kuzuia choo kigumu✍️
25/06/2026

Embe lina nyuzinyuzi (fiber) zinazosaidia mmeng'enyo wa chakula na kuzuia choo kigumu✍️

11/06/2026

Je, unajua? Kupika kunaweza kusaidia kupunguza msongo wa mawazo na kuleta utulivu wa akili jaribu hii kitu pindi uwapo na mawazo hasa wewe mwanaume...🫵 Healing in Progress 💪 Hii kachori ni pambee😋 Dr. Ebby 0757991560 Karibu kwa ushauri na matibabu kwa kutumia mimea asili, vyakula matunda na mboga mboga

09/06/2026

SOMA SOMO HAPA UENDELEE KUJIFUNZA na Dr. Ebby 0757991560

Kuna watu wakisikia mambo ya afya wanasema..

“Acha kujisumbua, wote tutakufa tu.”

Ni kweli.

Lakini kuna tofauti kubwa kati ya kuishi na kuendelea kuvuta pumzi.

Gari ukifanya service kwa wakati, ukaweka oil nzuri, ukaweka genuine parts, mara nyingi litakupa performance nzuri na litadumu zaidi.

Ndiyo, siku moja linaweza kuharibika.

Lakini si sawa na gari ambalo service ya kuungaunga, linaendeshwa ovyo na kila taa ya tahadhari inapowaka dereva anaipuuza.

Mwili wetu nao uko hivyo.

Kula vizuri, kulala vizuri, kunywa maji ya kutosha, kufanya mazoezi na kupunguza msongo wa mawazo hakutufanyi tuishi milele.

Lakini kunatusaidia kuishi miaka mingi yenye afya, nguvu na furaha.

Afya si tu kuongeza miaka kwenye maisha.

Ni kuongeza uhai ndani ya miaka hiyo.

Mwisho wa yote, Mungu ndiye mpaji wa uzima na afya. Lakini katika kanuni alizoweka, moja ya njia za kutunza zawadi hiyo ni kuishi kwa mtindo unaouheshimu mwili aliotupa.

Usikate tamaa kwa sababu tu siku moja utakufa.

Ishi vizuri leo.

Ishi kwa afya leo.

Ishi kwa kusudi leo.

ISHI!🫶

Somo hili likawe Funzo na lenye thamani kwako.... K**A UMENIELEWE TUANDIKIE (NIATAILINDA AFYA YANGU)

Health Community care Tunajali na kuthamini afya yako.. sisi Tunapatikana Mwanza eneo linaitwa Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner.. k**a una changamoto yoyote ya kiafya Karibu tukusaidie kwa ushauri na matibabu ya uhakika kupitia mimea asili na vyakula lakini tutakusadia mtindo sahihi wa maisha... Karibuni wake kwa waume🤝Dr. Ebby 📱0757991560👉 face book follow . Ebby Herbal.. on Instagram

Usichoke kujifunza, endelea kujifunza

01/06/2026

Asili ni fahari, mila ni utambulisho, na vyakula vya asili ni urithi. 😄 Kabla ya fast food kututeka, mababu zetu walikula hivi na wakaishi hadi kutusimulia historia zao nyingi Tujivunie tulikotoka..... MZIZI UKISAHAULIKA MTI NAO HUPOTEA🌱🌿🍃

Address

Mwanza
33110

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr. Ebby Herbal posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share