30/04/2026
USISUBIRI HOSPITALI WAKUAMBIE FIGO YAKO MBOVU, SAFISHA TU KWA MSITAFELI
Kwenye matumizi yote ya Msitafeli unga, basi hii hapa ni njia nzuri na huanza kutoa matokeo mapema sana
Andaa maji yako vuguvugu, yawe ujazo wa kikombe cha chai au glasi
Kwenye hayo maji weka unga wa msitafeli kijiko kimoja kile kidogo cha chai, endapo hauna vidonda vya tumbo fanya kukamulia humo limao kipande kimoja kisha chuja
K**a una vidonda vya tumbo usiweke limao, chuja tu
Kunywa maji hayo uliyochuja asubuhi baada ya chai, na pia usiku baada ya chakula
Tumia hivyo kwa siku 7 mfululizo, halafu siku 7 zingine usitumie. Halafu endelea tena kutumia kwa siku 7 zingine, kisha siku 7 zinazofuata usitumie.
Tumia kwa mtindo huohuo hadi muda wa miezi mitatu upite
KUMBUKA, HUO MSITAFELI UNAKUSAIDIA...
1. Kusafisha Figo
2. Kusafisha Ini
3. Kukinga na kutibu KANSA yoyote
4. Kukinga na kutibu UVIMBE wowote
5. Kukinga na kutibu TEZI DUME
6. Kuboresha hali ya usingizi
7. Kuondoa msongo wa mawazo
8. Kukinga na kutibu Sukari ya kupanda
9. Kukinga na kutibu PRESHA ya kupanda
10. Kukinga na kutibu URIC ACID
NOTE: UNGA MZURI NI ULE ULIOANDALIWA KWA MAJANI YAKE KUANIKWA KIVULINI KABLA YA KUSAGWA
Ikiwa unashindwa kuandaa unga wenye sifa hizo, bei yetu ni Tsh 80,000, fika ofisini kwetu Mwanza jirani sana na Kanisa katoliki Mkolani, mbele yako utaona jengo la bluu limeandikwa Nyota Rays, ukilivuka tu hilo jengo utaona ofisi ina bango limeandikwa MASHA HERBAL STORE, piga simu kabla ya kuja
Mikoa yote tunaweza kukutumia ukihitaji, k**a upo makao makuu ya mkoa wako basi utalipia kwanza Tsh 10,000 ya kusafirisha halafu pesa ya dawa utailipa wakati wa KUPOKEA
Simu || WhatsApp
0767 925 000