28/03/2021
Katika uandaji wa Unga lishe Ni makosa sana kuweka nafaka nyingi zenye virutubishi sawa,
Kila nafaka ina virutubishi na kila kirutubishi ina kiwango tofauti na chenzake kinacho hitajika mwilini, kiwango cha kirutubishi kinapo pungua k**a inavyotakiwa unga hupoteza ubora kwa mtoto na kiwango kinapo zidi tu unga huleta madhara kwa mtoto,
Kwa kutambua hayo YouthTide Unga Lishe Tumezingatia idadi pamoja na kiwango cha nafaka sahihi katika kachanganya ili kupata LISHE yenye ubora zaidi kwa afya ya mtoto, pia tumechukua nafaka zinazo endana katika uivaji na tuka achana na nafaka zinazoweza kuhatibu unga wetu Mapema,
Hivyo unga wetu una wanga, Protein, na mafuta virutubishi hivyo vyote tumeweka kwa Ratio sahihi na inayotakiwa kwa kutumia formula ya LISHE kwa watoto ili ku-balance virutubishi vinavyo hitajika mwilini,
Tuna kila sababu ya kusema YouthTide Unga Lishe ni Unga bora zaidi kwa ajili ya Afya,
Unga Unapatikana maeneo Yafuatayo
Tabora- Nzega
Shinyanga- Kahama
Geita- Chato
Pia kwa walio mbali mikoani tunatuma!
Kwa Mawasiliano zaidi wasiliana nasi kwa Simu namba 065 44 33 909 au 0747276603