Dawa ZA Mitishamba

Dawa ZA Mitishamba See Translation ๐Ÿ‘‡
https://dmshambaplus.blogspot.com
(1)

๐ŸšฆTIBA ZA ASILI KWA AFYA YA UZAZI WA MWANAMKE  ๐Ÿ” Dawa ZA Mitishamba Je, unasumbuliwa na:๐Ÿ‘‰ Kutopata ujauzito๐Ÿ‘‰ Hormonal Imb...
29/05/2026

๐ŸšฆTIBA ZA ASILI KWA AFYA YA UZAZI WA MWANAMKE ๐Ÿ” Dawa ZA Mitishamba

Je, unasumbuliwa na:

๐Ÿ‘‰ Kutopata ujauzito
๐Ÿ‘‰ Hormonal Imbalance
๐Ÿ‘‰ Ovarian Cysts
๐Ÿ‘‰ Blocked Tubes
๐Ÿ‘‰ Vaginal Infections

Tiba za asili zimekuwa zikitumika kusaidia kusafisha mwili, kuboresha mzunguko wa homoni na kuimarisha afya ya uzazi kwa ujumla.

๐Ÿƒ Mimea asilia yenye virutubisho muhimu inaweza kusaidia:
โœ”๏ธ Kusafisha mfumo wa uzazi
โœ”๏ธ Kuimarisha afya ya kizazi
โœ”๏ธ Kupunguza maambukizi
โœ”๏ธ Kuboresha mzunguko wa hedhi
โœ”๏ธ Kuupa mwili nguvu na afya nzuri

โš ๏ธ Ni muhimu kupata ushauri wa kitaalamu kabla ya kutumia tiba yoyote ya asili, hasa k**a una maumivu makali au tatizo la muda mrefu.

๐Ÿค Wasiliana nasi kupata maelezo zaidi kuhusu tiba za aasili na matumizi yake.

๐ŸšฆFANGASI ZA KUCHA SASA BASI ๐Ÿ‘‹ ๐Ÿ”  Dawa ZA Mitishamba :๐Ÿค— Siku 7 ( Week ) Tu tatizo lako linaisha kabisa!Weka Order Sasa [ ...
29/05/2026

๐ŸšฆFANGASI ZA KUCHA SASA BASI ๐Ÿ‘‹ ๐Ÿ” Dawa ZA Mitishamba :

๐Ÿค— Siku 7 ( Week ) Tu tatizo lako linaisha kabisa!

Weka Order Sasa [ 19500Tsh/= ] ๐Ÿšš

๐ŸšฆSIRI YA MSTAKAFELI NA MAZIWA KWA AFYA YA MWANAUME ๐Ÿ” Dawa ZA Mitishamba :Je, unafahamu kuwa baadhi ya watu hutumia majan...
28/05/2026

๐ŸšฆSIRI YA MSTAKAFELI NA MAZIWA KWA AFYA YA MWANAUME ๐Ÿ” Dawa ZA Mitishamba :

Je, unafahamu kuwa baadhi ya watu hutumia majani ya mstakafeli pamoja na maziwa k**a sehemu ya tiba za asili kwa kusaidia afya ya tezi dume? ๐ŸŒฑ๐Ÿฅ›

Mchanganyiko huu huaminika kusaidia:

โœ… Kuimarisha mwili
โœ… Kupunguza uchochezi
โœ… Kusaidia mfumo wa mkojo
โœ… Kuongeza nguvu za mwili

โš ๏ธ Dalili za tezi dume usizipuuzie:

Kukojoa mara kwa mara usiku
Maumivu wakati wa kukojoa
Mkojo kutoka kwa shida
Maumivu ya kiuno

๐Ÿ“Œ Kumbuka:
Tiba za asili ni msaada wa kiafya, lakini ni muhimu kufanya vipimo hospitalini ili kujua chanzo halisi cha tatizo.

๐ŸŒฟ Linda afya yako mapema kabla tatizo halijakuwa kubwa.

๐ŸšฆMAFUA NA KIKOHOZI KWISHA KABISA โ€” JARIBU MCHANGANYIKO HUU WA ASALI, LIMAO NA TANGAWIZI! ๐Ÿ” Dawa ZA Mitishamba โœ… Husaidia...
07/05/2026

๐ŸšฆMAFUA NA KIKOHOZI KWISHA KABISA โ€” JARIBU MCHANGANYIKO HUU WA ASALI, LIMAO NA TANGAWIZI! ๐Ÿ” Dawa ZA Mitishamba

โœ… Husaidia mafua na kikohozi
โœ… Husaidia koo na kifua
โœ… Hutoa joto mwilini
โœ… Huongeza kinga ya mwili

๐Ÿฅ„ Jinsi ya kutumia:
Changanya asali, maji ya limao na tangawizi kwenye maji ya uvuguvugu, kisha kunywa mara 1โ€“2 kwa siku. ๐Ÿฏ๐Ÿ‹โ˜•

๐Ÿ’ฅTahadhari
๐Ÿ‘‰Usitumie maji ya moto sana ukichanganya asali
๐Ÿ‘‰Wenye vidonda vya tumbo watumie kwa kiasi

๐ŸšฆNJIA RAHISI YA KUZIFANYA NYWELE ZIKUE HARAKA! ๐Ÿ” Dawa ZA Mitishamba ๐Ÿค— Unasumbuliwa na nywele kukatika, kuwa kavu au hazi...
12/04/2026

๐ŸšฆNJIA RAHISI YA KUZIFANYA NYWELE ZIKUE HARAKA! ๐Ÿ” Dawa ZA Mitishamba

๐Ÿค— Unasumbuliwa na nywele kukatika, kuwa kavu au hazikui haraka? Jaribu njia hii ya asili ๐Ÿ‘‡

๐Ÿ’ฅ Mchanganyiko:

๐Ÿ‘‰ Yai 1
๐Ÿ‘‰ Vijiko 2 vya asali
๐Ÿ‘‰ Kijiko 1 cha mafuta ya n**i

๐Ÿ’ฅ Jinsi ya kutumia:
Pakaa kwenye nywele kuanzia mizizi hadi mwisho, acha kwa dakika 20โ€“30 kisha osha kwa maji ya uvuguvugu na shampoo.

๐Ÿ’ฅ Faida zake:
โœ” Hukuza nywele haraka
โœ” Hufanya nywele ziwe laini na zenye kungโ€™aa
โœ” Hupunguza kukatika
โœ” Hutoa unyevu wa asili

โš ๏ธ Kumbuka:
Epuka kutumia maji ya moto ili yai lisigande kichwani.

๐ŸšฆTIBA YA ASILI YA " UTI " (MAAMBUKIZI YA NJIA YA MKOJO) ๐Ÿ” Dawa ZA Mitishamba โœ๏ธUnasumbuliwa na maumivu wakati wa kukojoa...
05/04/2026

๐ŸšฆTIBA YA ASILI YA " UTI " (MAAMBUKIZI YA NJIA YA MKOJO) ๐Ÿ” Dawa ZA Mitishamba

โœ๏ธUnasumbuliwa na maumivu wakati wa kukojoa, kwenda chooni mara kwa mara au mkojo wenye harufu kali? Hii ni dalili ya UTI!

Jaribu tiba hii ya asili yenye nguvu ๐Ÿ‘‡

๐Ÿ’ฅ MAHITAJI:
โœ”๏ธ Tangawizi
โœ”๏ธ Kitunguu swaumu
โœ”๏ธ Majani ya mpera
โœ”๏ธ Maji
โœ”๏ธ Juisi ya limao
โœ”๏ธ Asali

๐Ÿ’ฅ JINSI YA KUANDAA:
Chemsha tangawizi, majani ya mpera na swaumu kwa dakika 10โ€“15.
Chuja, kisha ongeza limao na asali.

๐Ÿ’ฅ MATUMIZI:
Kunywa kikombe 1 asubuhi na 1 jioni kwa siku 5โ€“7

๐Ÿ’ช FAIDA:
โœ”๏ธ Huua bakteria
โœ”๏ธ Hupunguza maumivu
โœ”๏ธ Husafisha njia ya mkojo
โœ”๏ธ Huzuia maambukizi kurudi

โš ๏ธ USHAURI:
Kunywa maji mengi kila siku
Epuka kushikilia mkojo muda mrefu

๐Ÿค— Kumbuka:
Dalili zikiendelea, wahi hospitali kupata matibabu sahihi

๐Ÿ’ฌ Share kuwasaidia wengine wajue tiba hii!

29/03/2026
๐ŸšฆTIBA YA ASILI YA " UTI " (MAAMBUKIZI YA NJIA YA MKOJO) ๐Ÿ” Dawa ZA Mitishamba โœ๏ธUnasumbuliwa na maumivu wakati wa kukojoa...
22/03/2026

๐ŸšฆTIBA YA ASILI YA " UTI " (MAAMBUKIZI YA NJIA YA MKOJO) ๐Ÿ” Dawa ZA Mitishamba

โœ๏ธUnasumbuliwa na maumivu wakati wa kukojoa, kwenda chooni mara kwa mara au mkojo wenye harufu kali? Hii ni dalili ya UTI!

Jaribu tiba hii ya asili yenye nguvu ๐Ÿ‘‡

๐Ÿ’ฅ MAHITAJI:
โœ”๏ธ Tangawizi
โœ”๏ธ Kitunguu swaumu
โœ”๏ธ Majani ya mpera
โœ”๏ธ Maji
โœ”๏ธ Juisi ya limao
โœ”๏ธ Asali

๐Ÿ’ฅ JINSI YA KUANDAA:
Chemsha tangawizi, majani ya mpera na swaumu kwa dakika 10โ€“15.
Chuja, kisha ongeza limao na asali.

๐Ÿ’ฅ MATUMIZI:
Kunywa kikombe 1 asubuhi na 1 jioni kwa siku 5โ€“7

๐Ÿ’ช FAIDA:
โœ”๏ธ Huua bakteria
โœ”๏ธ Hupunguza maumivu
โœ”๏ธ Husafisha njia ya mkojo
โœ”๏ธ Huzuia maambukizi kurudi

โš ๏ธ USHAURI:
Kunywa maji mengi kila siku
Epuka kushikilia mkojo muda mrefu

๐Ÿค— Kumbuka:
Dalili zikiendelea, wahi hospitali kupata matibabu sahihi

๐Ÿ’ฌ Share kuwasaidia wengine wajue tiba hii!

๐Ÿค— EMBU TUAMBIE KWENU MNAYAITAJE  "CHANGIA BANDO LA 5000Tsh/= NIKUPE FAIDA ZAKE KUU" ๐Ÿ” Dawa ZA Mitishamba โœ๏ธMatunda haya ...
22/03/2026

๐Ÿค— EMBU TUAMBIE KWENU MNAYAITAJE "CHANGIA BANDO LA 5000Tsh/= NIKUPE FAIDA ZAKE KUU" ๐Ÿ” Dawa ZA Mitishamba

โœ๏ธMatunda haya yanafaida Kubwa sana Ukichanganya na miti mingine unapata Tiba ya ugonjwa WA kisukari

๐ŸšฆFAIDA KUU (5 ) ZA ULAJI WA TIKITI MAJI ( Watermelon ) KWA AFYA ๐Ÿ‰ ๐Ÿ” Dawa ZA Mitishamba :โœ๏ธTikiti maji ( Watermelon ) siy...
19/03/2026

๐ŸšฆFAIDA KUU (5 ) ZA ULAJI WA TIKITI MAJI ( Watermelon ) KWA AFYA ๐Ÿ‰ ๐Ÿ” Dawa ZA Mitishamba :

โœ๏ธTikiti maji ( Watermelon ) siyo tu kitamu na cha kutuliza kiu, bali pia ni dawa asilia yenye faida nyingi kwa mwili.

โœ… Lina maji mengi (karibu 90%) โ€“ husaidia mwili kuepuka upungufu wa maji.

โœ… Huimarisha afya ya figo kwa kusaidia kutoa taka mwilini.

โœ… Lina lycopene โ€“ kinga asilia inayopunguza hatari ya saratani na magonjwa ya moyo.

โœ… Hupunguza shinikizo la damu na kuimarisha mzunguko wa damu.

โœ… Huchangia kuongeza nguvu na kupunguza uchovu.

โœจ Tikiti maji ni kinywaji na tiba asilia kwa pamoja โ€“ kula mara kwa mara hasa kwenye joto.

Address

Tanga

Opening Hours

Monday 09:00 - 23:00
Tuesday 09:00 - 23:00
Wednesday 09:00 - 23:00
Thursday 09:00 - 23:00
Friday 09:00 - 18:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 18:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dawa ZA Mitishamba posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Dawa ZA Mitishamba:

Share