15/08/2024
Mapenzi limekua ni janga/ tatizo sugu katika jamii yetu wengi wamekua wakiumizwa na kutokujua wafanye nini
~~Katika mapenzi/ndoa siku hizi kuachwa, kuachika,kusalitiwa , kutokusikilizwa ,kutokuhudumiwa pamoja na magomvi ya mara kwa mara yamekua ni mambo ya kawaida na mara zote watu wanachukulia kawaida
~~Je unajua unaweza kujiona huna bahati huna mvuto mapenzi hayako upande wako na kwa mantiki hiyo ukaishi kinyonge na wengine kupelekea kujinyonga ama kujiumiza kwa kutokujua wenyewe
~~Je unafahamu kuhusu nyota ya mapenzi/ ndoa kwanini hufanikiwi kwenye mahisiano au ndoa?? Kwanini unajihisi mapenzi hayako upande wako? Kwa kawaida mahusiano ya watu wawili yana tegemeana na nyota zenu je nyota zenu zinawiana ??zinaruhusu nyie kua wapenzi / wana ndoa?
~~ Wanawake /wasichana/wanaume/wavulana wengi wamekua wakiingia kwenye mahusiano na kutonufaika na chochote ...unahisi wewe ni mmoja wapo? Unahisi mahusiano yako hayakupi Faida yoyote?? Umekua ni mtu wa kukataliwa na kuachwa kila siku?? Umekua ni mtu usie na msimamo kwenye mahusiano yako?? Hujui unahitaji mtu wa aina gani ??
~~karibu tukusaidie tumesaidia wengi ndani na nje ya nchi karibu utengeneze mahusiano yako kutokana na dunia hii inavyoenda ,njoo tukupe mwongozo wa nini unatakiwa kufanya kwenye mahusiano yako/ndoa makelele hayana maana kwenye maisha ya ndoa / mahusiano