Health good tz

Health good tz Pata SULUHISHO LA KUDUMU LA NGUVU ZA KIUME..

dume
uliopitiliza
KINGA NI BORA KULIKO TIBA

Mwanaume 1 kati ya 3 wana matatizo ya nguvu za kiume hii nikulingana na tafiti zilizo fanyika.1. Kutokuwa na Mzunguko mz...
14/07/2022

Mwanaume 1 kati ya 3 wana matatizo ya nguvu za kiume hii ni
kulingana na tafiti zilizo fanyika.
1. Kutokuwa na Mzunguko mzuri wa damu mwilini, hasa sehemu za
viungo vva uzazi kwa mwanaume
2. Kutokuwa na kiwango cha kutosha cha homoni ya Testosterone,
3. Kupungukiwa protini na hivyo kukosa amino asidi mwilini
4. Mongo wa mawazo/Sonona
5. Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta na vinywaji vyenye sukari
nyingi

Je? Una swali lolote Au una changamoto gani ina kusumbua? Kiafya niandikie hapa chini kwenye Comment nitaisoma a kukujibu au kukupatia njia sahihi ya kuitatua changamoto yako Kuhusu Ushuri na Huduma za Virutubisho Bora Nipigie sasa hivi au

Pia usisahau kuturn on post notification kwaajiri ya kupata taarifa
pale tuu ninapo chapisha ujumbe mpya kuhusu afya!

JE WEWE PIA UNA TATIZO LA UPUNGUFU WA Nguvu za kiume
Follow Instagram
education31

Kwa ushauli, Elimu, Miongozo, Suluhisho sahihi kwa upande wa
afya ya uzazi tupigie sasa hivi au tuma jumbe whatsapp andika
"BORESHA afya " +255652570543
Utapata kuhudumiwa haraka

*MADHARA 36 YA PUNYETO.JUA CHUKUA HATUA*1.Ni chanzo kikubwa cha kupoteza kumbukumbu na kukufanya ushindwe kufanya vitu k...
01/05/2022

*MADHARA 36 YA PUNYETO.JUA CHUKUA HATUA*

1.Ni chanzo kikubwa cha kupoteza kumbukumbu na kukufanya ushindwe kufanya vitu kwa umakini.

2.uleta infection na kusababisha,manii kuwa nyepesi na unapofanya jimai manii kutoka kwa mkewe badala ya kuingia ukeni na huweza kuwa sababu ya kutopata mtoto

3.Huuwa na kumaliza nguvu za kiume kabisa.

4.Husababisha uchovu muda wote.

5.Humfanya mtu kupoteza nguvu za mwili na kumfanya kuwa legevu na mvivu.

6.Husababisha mwanaume kutoa mbegu haraka wakati wa tendo la ndoa.

7.Husababisha msongo mkubwa wa mawazo.(mawazo kuwa mengi)

8.Husababisha mtu kukosa hamu kabisa Ya tendo la ndoa hata akiwa na mke wake.

9.Husababisha ukhanithi (ugumba).

10.Humfanya mtu ambae hajaowa ashindwe kuowa

11.Husababisha mtu kuathilika kisaikolojia.

12.Huzidisha woga kwa wanawake.(kuogopa wanawake).

13.Humfanya mtu ashindwe kuona umuhimu wa wanawake.

14.Inaweza kumfanya mtu kukonda na mifupa ya mashavu kutokeza.

15.Humfanya mtu kuwa mtumwa wa kitendo hicho.

16.Ni maasi na athari ya kudumu inayouwa afya ya mwili na akili.

17.Kushindwa kusimamisha uume zaidi ya mara 1 na uume kuwa legevu.

18.Maumivu ya mgongo.

19.Kusinyaa kwa nywele.

20.Maumivu ya makende.

21.Maumivu ya kiuno.

22.Pia inaweza kusababisha umasikini kwa sababu mtu hupoteza nguvu,kumbukumbu, na kuwa mlegevu na mvivu.

23.Inachangia kushindwa kufikia malengo kwa sababu huuwa mfumo wa fahamu na uwezo wa kufanya jambo kwa makini.

24.Inadhoofisha mwili na kuufanya jalala la maradhi

25.Huondoa nuru ya macho.

26.Huzidisha mapigo ya moyo k**a mtu mwenye presha.

27.Hufanya ngozi ionekane k**a ya mzee.

28.Husababisha kuvunjika kwa ndoa.

29.Humfanya mtu kutazama na kuwaza sana wanawake, na pia kutazama sana picha na video za ngono.

30.Kuumwa ma kichwa mara kwa mara.

31.Kukosa nguvu kwenye jointi za magoti.

32.Kupungukiwa mbegu katika mfuko wa uzazi.

33.Kuharibika kwa mishipa ya fahamu na uti wa mgongo.

34.Humfanya mtu kusinzia ovyo kila anapomaliza punyeto.

35.Mpiga punyeto hana uwezo wa kumfikisha mwanamke kileleni.

36.Ni aibu kubwa sana kwa jamii kujihusisha na punyeto hali yakuwa Allah amewataka waoane na kutangamana kwa wema na ktk hili ni sababu ya kupata utulivu wa nafsi na akili pia kupata kizazi

KUPATA SULUHISHO Wasiliana nas
WhatsApp 👇/ Call 0652570543
https://wa.me/message/ZPVP6HPTT3ZXC1

💥💥BIDHAA BORA YA C9 YA ASILI KWA KUSAFISHA SUMU MWILINI NA KUPUNGUZA UZITO.💥💥JE, UNENE IMEKUWA NI SHIDA KWAKO?? 💥💥 JE, U...
17/04/2022

💥💥BIDHAA BORA YA C9 YA ASILI KWA KUSAFISHA SUMU MWILINI NA KUPUNGUZA UZITO.
💥💥JE, UNENE IMEKUWA NI SHIDA KWAKO??
💥💥 JE, UMEHANGAIKA KUPUNGUA MARA KWA MARA IMESHINDIKANA?
NAMBA YAKO TUPEANE USHAURI

🔷KUWA MNENE SIO MBAYA, LAKINI UZITO UKIZIDI UNA MADHARA MAKUBWA KIAFYA

♦Uzito mkubwa wa kupindukia ni tatizo kubwa la kiafya katika maisha yetu ya kisasa. Uzito unapozidi kiwango ambacho kinahitajika kwa mtu husika kunachangia matatizo mengi ya kiafya. Kwa mujibu wa Takwimu zilizotolewa na shirika la afya duniani, zaidi ya watu bilioni 1.5 duniani wamezidisha uzito wa miili yao. Milioni 500 kati yao huwa na unene wa kupindukia.

♦Tatizo hili la UNENE
uliopitiliza kuliko inavyohitajika kiafya huwa linaletwa na kuongezeka kwa kiwango cha mafuta mwilini.
♦Njia rahisi inayokubalika ya kuweza kugundua k**a mtu ni mnene kupita kiasi (Obese) inafahika k**a kipimo cha Body Mass Index (BMI) vipimo hivi vya BMI ndio vinaweza kukujulisha k**a unene ulionao unastahili kulingana na umri, urefu,na uzito wako.

♦Magonjwa yanayoweza kuambatana na tatizo la unene uliopitiliza Ni:
â–ªKisukari
â–ªshinikizo la damu (hypertension)
â–ªMatatizo ya kizazi (Infertility)
â–ªkiharusi (Stroke),
â–ªMagonjwa ya moyo (Heart Failure)
â–ªKiwango cha juu cha lijamu kwenye damu ( Cholesterol )
â–ªSaratani ya matiti. â–ªSaratani ya tezi dume ( prostate Cancer) â–ªSaratani ya utumbo mpana pamoja na maeneo ya haja kubwa ( Colorectal Cancer)
â–ª Matatizo ya mzunguko na mishipa ya damu k**a vile kuvimba kwa Vena za miguuni ( Varicose veins)
â–ªkutokupumua vizuri wakati mtu yupo usingizini.
â–ªKutoku perform vizuri kwenye TENDO la Ndio.
â–ªUgonjwa wa mifupa k**a yabisi. Nk nk

💥💥 Epuka kupunguza UZITO kwa kufanya DIET na MAZOEZI. Kiafya sio nzuri, kupungua utapungua lakini huwezi kudetox mwili wako kwa kutoa sumu tulizonazo na vilevile ngozi yako itanyauka kwa kuunyima mwili virutubisho muhimu kwa kufanya diet.

💥💥PATA NJIA SAHIHI NA BORA YA KUPUNGUZA UZITO KIAFYA ILIYOTHIBITISHWA KWA AJILI YA AFYA YAKO.

🔷Clean9 ni njia sahihi ya kupunguza mwili kiafya iliyothibitishwa kwa ajili ya afya yako.

WhatsApp 👇Call 0652570543
.me.//255652570543

09/04/2022
Upungufu wa nguvu za kiume na athari za matumizi ya mitishamba isiyoidhinishwa kisayansiBaadhi ya wataalamu wa afya nchi...
07/04/2022

Upungufu wa nguvu za kiume na athari za matumizi ya mitishamba isiyoidhinishwa kisayansi

Baadhi ya wataalamu wa afya nchini Tanzania wanakiri kuwepo kwa ongezeko la watu wenye matatizo ya ukosefu wa nguvu za kiume.

Hali hii imeelezwa kuwa chanzo cha baadhi ya watu kuamua kutumia dawa za kisasa na hata za mitishamba ambazo mara nyingi zinakuwa hazijafanyiwa utafiti wa kutosha, hivyo kutotibu tatizo.

Utafiti uliofanywa mwaka 2016 na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) katika wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, unaonesha takriban mwanaume mmoja kati ya wanne ana tatizo la nguvu za kiume.

Utafiti huo ulifanyika kwa wanaume elfu kumi na nane mia nne arobaini na mmoja (18,441) huku umri wa waliochunguzwa ni miaka 47.

Mwandishi wetu Aboubakar Famau amefanya mahojiano na daktari bingwa wa mfumo wa mkojo, Remigius Rugakingira kutoka hospitali ya Benjamin Mkapa iliyopo jijiji Dodoma na kwanza alimuuliza nini hasa maana ya upungufu wa nguvu za kiume

Je UNAPITIA CHANGAMOTO HII YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME TUPO HAPA KUKUSAIDIA NA KUPATA SULUHISHO LA KUDUMU

WASILIANA NAS
WhatsApp👇/Call 0652570543
wa.me.//255652570543
TUMA NENO SULUHISHO

Address

Stone Zanzibar
Zanzibar

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Health good tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share